zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwani Mbowe ni exception? Mbona alijitoaga bunge la katiba na kuacha mamilion ndio angeshindwa sahvi?Mkuu Zitto J,
Vipi kama Mbowe ndiyo angeshinda ubunge peke yake?
Hv CCM mnawajua vizur? Hawashindwi kumtafuta mwanachadema feki wakafosi agombee wampe tu mbona wepesi kusahau Kama spika ndugai aliwakingia kifua wabunge wasaliti wa Chadema kina silinde na juakali walipofukuzwa Chadema lkn akawaita bungeni sembuse huyo mbunge mmoja na watakua wamefanya makusudi ili chadema wagombane Tena wasahau wizi huu wa kura,hapo huyu mbunge aachwe tu na cdm hata wasihoji kitu maana huo Ni mtego wa ccm mnaeza shangaa jiwe anampa uwaziriKukubali kuwa kashinda kihalali ni kumaanisha wenzie wameshindwa kihalali.
Nakumbuka 2017 Woman MP wa Nairobi alishinda kwa zaidi ya 70% ila Odinga alidai ameibiwa kura....
Naunga mkono. Ajiuzulu tu.Wakuu Salaam:
Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi...
Aiseee huu mtego ni wa hatari sana, inahitajika umakini wa hali ya juu.Hv ccm mnawajua vizur? Hawashindwi kumtafuta mwanachadema feki wakafosi agombee wampe tu mbona wepesi kusahau Kama spika ndugai aliwakingia kifua wabunge wasaliti wa cdm kina silinde na juakali walipofukuzwa cdm lkn akawaita bungeni sembuse huyo mbunge mmoja na watakua wamefanya makusudi ili cdm wagombane Tena wasahau wizi huu wa kura,hapo huyu mbunge aachwe tu na cdm hata wasihoji kitu maana huo Ni mtego wa ccm mnaeza shangaa jiwe anampa uwaziri
Kessy hoja yake ya ukomo wa urais imemletea laana. Sasa akaongezee muda tezi dume lakeKessy ana mkosi gani?
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, yaani unaunga mkono ujinga alioandika huyo?Aiseee huu mtego ni wa hatari sana, inahitajika umakini wa hali ya juu.
Namuonea huruma sana huyo dada. Atasimangwa sana na chadema kuliko ccm.CHADEMA achane upumbavu na ubinafsi,huyu dada namfahamu tumewahi kuishi mtaa mmoja...
Kaongea nni cha uongo? Silinde si alitumbuliwa ila Spika akamlinda so hta hyu ingetokea katambua matokeo akivuliwa uanachama still angelindwa!!Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, yaani unaunga mkono ujinga alioandika huyo?
Hata Mimi nisingeacha hapo kuacha ubunge ni kusaliti wananchi wakeHata ningekuwa mm siwezi kuacha ubunge
Mbona Zanzibar wamemaliza miaka mitano bila upinzani na mambo yameenda kama kawaida na maendeleo Wazanzibar wamepata?Ninashauri awaachie Hilo jimbo au ajiunge nao. Ili Wananchi wafurahie mfumo wa chama kimoja Kama wait ndivyo walivyotaka. Ila Hadi 2025 watanzania ninawaonea huruma Sana kwenye huo mfumo wa chama kimoja.
Mwacheni dada wa watu aende bungeni ajiuzulu kwa sababu gani?Kwani ubunge wa viti maalum si alipewa akiwa kapuku kabisa hakuna anayemfahamu kwenye ulimwengu wa siasa.
Leo hii ndio azione pesa ni muhimu kuliko waliompa ubunge wa ''zawadi'' miaka 5 iliyopita?
Huyo dada ni lazima ajiuzulu otherwise amehalalisha upuuzi wote uliofanyika jana.
Ajiudhulu kwa kosa lipi alilotenda?Ameshinda ama amepewa?
Uko sahihi mkuu!...ila unakumbuka sakata la Mwambe na maamuzi aliyochukua Ndugai?Mbunge anadhaminiwa na chama sio wananchi. Hta bungeni mnakaa kwa mfumo wa kichama, same to kamati. Na ndio maana Leo Mbowe akimfuta uanachama huyo dada ndio ubunge wake unafia hapi hapo.
Uko sahihi ni vyema wamwache na yeye alambe posho kama wao walivyokula kwa miaka 10.Wa mwache dada wa watu aende bungeni