Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

Wanapapenda pasipo na maendeleo cz pasipo namaendeleo kwanza hakuna wasom na mtu akikosa elimu uta m buruza mpaka utakapo choka ndomana asilimia kubwa ccm vijijin ndo wko juu mana nikazi rahisi kumdanganya mjinga na nikazi kubwa kumuelimisha mjinga kma amedanganywa
 
Acha uvivu chapa kazi. Kama hupendi CCM ni wewe sisi tunaipenda.

Wasichoelewa watu wengine ni kuwa hakuna Chama cha siasa kinachogawa pesa/ posho kwa wananchi, ubora wa maisha yako unautengeneza mwenyewe kwa juhudi binafsi ukisaidiwa na mazingira mema uliyoundiwa na serikali.
Kuna watu wengi naowajua ambao hawakumaliza hata darasa la saba na wengine walioishia darasa la saba ambao ni mamilionea wenye kumiliki biashara kubwa na kutambua kuwa hawakusoma sana ni jambo gumu. Na huo utajiri waliupata kwa kuanzia katika ngazi za chini sana na kama wangeamua kulalamikia serikali na kubweteka, wengi wangewaunga mkono kutokana na kutokuwa na hata kitu kimoja ambacho kilikuwa kichocheo cha wao kutajirika isipokuwa malengo, juhudi na kutokukata tamaa.
Mimi ni msomi lakini baada ya kukosa ajira, niliamua kujiajiri na sijisifu ila sidhani kama ningefikia nilipo endapo ningekaa chini na kusubiri ajira za serikali ama mashirika binafsi na kingine ni kuwa sikuwahi kupewa mtaji, kwa hiyo sihitaji mifano mingi kutetea nachokisema kwa sababu mimi mwenyewe ni mfano hai.
 
No research,no right to speak,baada ya utafiti wa kina nilioufanya kuanzia vijijini hadi mijini ktk vijiji 75 na miji 4,nimebaini kuwa ccm ina mizizi sana vijijini kuliko mijini,watu wengi niliowahoji ktk vijiji hivyo tofauti ktk utafiti wa miaka mitatu niliofanya na kuuhitimisha jana nimebaini kuwa wengi wanaoipenda ccm ni maskini wa kutupwa na wasio na elimu yoyote,na hawajui kwanini inawapasa kupiga kura,wananchi wengi wa mjini niliowahoji nilibaini kuwa wengi wao wanaoipenda ccm ni wale wanaotoka ktk familia za makada wa ccm,na wengine ni ushabiki wa kushabikia wasiojua lolote,na wengi wanaopenda upinzani nimebaini kuwa ni kundi la watu waelewa sana ambao wana ndoto nzito za kufanikiwa kimaisha,wanawaza kumiliki magari ya kifahari,biashara kubwa na makampuni hao ndo wanataka ccm ianguke,kifupi nimegundua kuwa wanaoipenda ccm wapo ktk makundi matatu,(1) maskini wasio na future (malofa) (2) wanaofaidika na ufisadi na mfumo mbovu wa ccm (3) wajinga wasiojua kitu na walio karibu na vigogo wa ccm,embiciles.
 
fact, umaskini unapunguza sana uwezo wa kufikir kutokana na lishe mbovu.. pia huwafanya watu kuamini maisha waliyonayo ndio wanayostahili.. sie wachache tunakaz ya kuwakomboa. viva TZ
 
Utafiti wako bado unaukakasi weka namba ya idadi ya masikini unaosema ndio wengi afu tupe na ushahidi wa ama video au sauti zao.
Pia tutajie angalau majina 1900 ya watoto wa vigogo wanaonufaika na ccm.
3 hilo kundi la wasiojielewa wewe pia upo ndani yake vinginevyo nitakuwa bado namashaka na research yako ambayo haina evidence.
 
fact, umaskini unapunguza sana uwezo wa kufikir kutokana na lishe mbovu.. pia huwafanya watu kuamini maisha waliyonayo ndio wanayostahili.. sie wachache tunakaz ya kuwakomboa. viva TZ

Upo sahihi mkuu,tena ukitaka kuamini zaidi hebu jaribu kuwahoji vijana wawili wanaoipenda ccm,waulize hivi:una mpango gani ktk maisha yako baada ya miaka 5 ijayo? Swali hilo hilo lielekeze kwa vijana wawili pia wanaotaka ccm ianguke,utaona ni kwa jinsi gani majibu yao yatatofautiana,utabaini ni kundi lipi umaskini umo kwenye damu na kundi lipi linauchukia hasa umaskini.
 
Poverty leads to lack of informations...
Ccm wanatumia nafasi hiyo kuwahadaa. Mfano MSICHAGUE WAPINZANI WATALETA MACHAFUKO..nobodies ask how?
 
Utafiti wako umetoa majibu sahihi kabisa.Watu wengi maskini hawajasoma, kwa hiyo they lack diagnostic ability.Ndio maana ya shule za kata.Schools for the poor.Give them fake education,ili wajione wamesoma kumbe wako pale pale.In that state, they are easy to manipulate and rule.Huwezi kumtawala mtu aliyesoma na mwenye uwezo, lazima atakuasi as you have seen.Wasomi wanataka vyama vya upinzani! Kama hutaki hilo litokee, use draconian methods as in the west.Wafanye wawe zomby like so that they don't really understand what is going on! Republicans na Democrats Wamarekani wanaona ni vyama viwili tofauti kumbe ni chama kimoja! Offer them an electral system ambayo ni fake kama ya Marekani ambayo actually wananchi hawamchagui raisi lakini wao wanaona wanamchagua raisi!The American president is choosen,not elected by the American people,but few understand this.
No research,no right to speak,baada ya utafiti wa kina nilioufanya kuanzia vijijini hadi mijini ktk vijiji 75 na miji 4,nimebaini kuwa ccm ina mizizi sana vijijini kuliko mijini,watu wengi niliowahoji ktk vijiji hivyo tofauti ktk utafiti wa miaka mitatu niliofanya na kuuhitimisha jana nimebaini kuwa wengi wanaoipenda ccm ni maskini wa kutupwa na wasio na elimu yoyote,na hawajui kwanini inawapasa kupiga kura,wananchi wengi wa mjini niliowahoji nilibaini kuwa wengi wao wanaoipenda ccm ni wale wanaotoka ktk familia za makada wa ccm,na wengine ni ushabiki wa kushabikia wasiojua lolote,na wengi wanaopenda upinzani nimebaini kuwa ni kundi la watu waelewa sana ambao wana ndoto nzito za kufanikiwa kimaisha,wanawaza kumiliki magari ya kifahari,biashara kubwa na makampuni hao ndo wanataka ccm ianguke,kifupi nimegundua kuwa wanaoipenda ccm wapo ktk makundi matatu,(1) maskini wasio na future (malofa) (2) wanaofaidika na ufisadi na mfumo mbovu wa ccm (3) wajinga wasiojua kitu na walio karibu na vigogo wa ccm,embiciles.
 
Utafiti wako bado unaukakasi weka namba ya idadi ya masikini unaosema ndio wengi afu tupe na ushahidi wa ama video au sauti zao.
Pia tutajie angalau majina 1900 ya watoto wa vigogo wanaonufaika na ccm.
3 hilo kundi la wasiojielewa wewe pia upo ndani yake vinginevyo nitakuwa bado namashaka na research yako ambayo haina evidence.

Acha kuweweseka mkubwa,ningeweka ushahidi wa sauti na video mngesema hao ni UKAWA wanapiga kampeni,ukweli upo pale pale,nadhani wewe upo kundi namba 2.
 
Masikini wamenyimwa elimu pia,hivyo kudhani bila ccm maisha hayaendi.Nashukuru vijana wamezinduka sasa
 
huo utabaki kuwa utafiti wako hata mwingine anaweza akaja na oppozt research ikakubalika vilevile coz kila mtu anauhuru wa kufanya research aitakayo
 
Huo mf.uko sahihi kabisa we angalia jirani zetu Kenya upeo wao wa kupambanua mambo uko juu hata kam hatutaki ila ukweli ndo huo na hii ni kwasababu ya elimu waliyo nayo
 
Utafiti wako bado unaukakasi weka namba ya idadi ya masikini unaosema ndio wengi afu tupe na ushahidi wa ama video au sauti zao.
Pia tutajie angalau majina 1900 ya watoto wa vigogo wanaonufaika na ccm.
3 hilo kundi la wasiojielewa wewe pia upo ndani yake vinginevyo nitakuwa bado namashaka na research yako ambayo haina evidence.

Hebu tutajie wewe. Ni mtoto gani wa kigogo wa CCM hana ajira na kipato? Ni mtoto gani wa kigogo wa CCM anasoma shule ya kata? Ni mtoto gani wa kigogo wa CCmM akiumwa anaemda Mwananyamala?Ni mtoto gani wa kigogo wa CcM anasoma kwenye vyuo vikuu lokali?
 
Utafiti wako bado unaukakasi weka namba ya idadi ya masikini unaosema ndio wengi afu tupe na ushahidi wa ama video au sauti zao.
Pia tutajie angalau majina 1900 ya watoto wa vigogo wanaonufaika na ccm.
3 hilo kundi la wasiojielewa wewe pia upo ndani yake vinginevyo nitakuwa bado namashaka na research yako ambayo haina evidence.

Hao ndo mnaowalaghai
 

Attachments

  • 1441373685225.jpg
    1441373685225.jpg
    10.1 KB · Views: 249
  • 1441373703983.jpg
    1441373703983.jpg
    59.5 KB · Views: 451
  • 1441373724674.jpg
    1441373724674.jpg
    48.1 KB · Views: 220
kwasababu ya umasikini wa fikra.
watu wanashindia mihogo watapata wapi muda wa kufikiri kumiliki range rover sports ya 2016.
angalia Dr mla mihogo alivyorubiniwa kirahisi na ccm mpaka anaropoka hovyo.kadhalilisha heshima ya udoctor yule Mzee mla mihogo
 
No research,no right to speak,baada ya utafiti wa kina nilioufanya kuanzia vijijini hadi mijini ktk vijiji 75 na miji 4,nimebaini kuwa ccm ina mizizi sana vijijini kuliko mijini,watu wengi niliowahoji ktk vijiji hivyo tofauti ktk utafiti wa miaka mitatu niliofanya na kuuhitimisha jana nimebaini kuwa wengi wanaoipenda ccm ni maskini wa kutupwa na wasio na elimu yoyote,na hawajui kwanini inawapasa kupiga kura,wananchi wengi wa mjini niliowahoji nilibaini kuwa wengi wao wanaoipenda ccm ni wale wanaotoka ktk familia za makada wa ccm,na wengine ni ushabiki wa kushabikia wasiojua lolote,na wengi wanaopenda upinzani nimebaini kuwa ni kundi la watu waelewa sana ambao wana ndoto nzito za kufanikiwa kimaisha,wanawaza kumiliki magari ya kifahari,biashara kubwa na makampuni hao ndo wanataka ccm ianguke,kifupi nimegundua kuwa wanaoipenda ccm wapo ktk makundi matatu,(1) maskini wasio na future (malofa) (2) wanaofaidika na ufisadi na mfumo mbovu wa ccm (3) wajinga wasiojua kitu na walio karibu na vigogo wa ccm,embiciles.

MPUMBAVU LOFA MKUBWA

HAPA KAZI TU


MAFISADI UKAWA
NEC+DOM+SEPT+25,+2012.jpg
 
Back
Top Bottom