Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunaoshindia mihogo pia tunaupungufu wa akili?
Upo sahihi mkuu,tena ukitaka kuamini zaidi hebu jaribu kuwahoji vijana wawili wanaoipenda ccm,waulize hivi:una mpango gani ktk maisha yako baada ya miaka 5 ijayo? Swali hilo hilo lielekeze kwa vijana wawili pia wanaotaka ccm ianguke,utaona ni kwa jinsi gani majibu yao yatatofautiana,utabaini ni kundi lipi umaskini umo kwenye damu na kundi lipi linauchukia hasa umaskini.
Tafiti Gan Unazotaka Wew?Unataka Kuniambia Wote Wanaopgia Ukawa Ni Matajiri?Unataka Kuniambia Watu Wote Wa Ukawa Hawafaidiki Na Hii Serikali?unataka kuniambia wapiga kura wa ukawa wote wanajua kusoma na kuandika?
MPUMBAVU LOFA MKUBWA
HAPA KAZI TU
MAFISADI UKAWA
![]()
Ccm siyo chama cha matajili hata kidogo mafisadi na matajili wako chadema.
sema utakavyo hisi na niweke kundi utakalo but ukwel naujua mwenyewe,sababu ya kuipenda ccm naijua mwenyewe sio kwamba ni perfect sana la hasha lakini kwa ninachokiamini na kwa dhamira niliyonayo inanifanya niwe mwanaccm...
Kwa maslahi gani uliyonayo?..tumeshuhudia mabilioni ya pesa yakichukuliwa kila siku na hao watu..wewe huna uchungu na nchi yako..wakati hakuna hata dawa mahospitali na elimu ni duni..walimu na madaktari kila siku wanalalamika..huna uchungu??..utakuwa mtu gani sasa?? ni zombie tu atakayevumilia huu ujinga!amka ungana na makamanda kuikomboa nchi..hawa jamaa wamejisahau sana wanadhani ni wafalme na ni haki yao kufaidi matunda ya nchi hii peke yao..ona bank kuu..ni watoto wa vigogo watupu..kweli hiyo ni halali..unapoipenda ccm kwa sasa..ni sawa na kutembea na kichwa kisicho na ubongo ndani yake!
Ccm siyo chama cha matajili hata kidogo mafisadi na matajili wako chadema.
Ccm siyo chama cha matajili hata kidogo mafisadi na matajili wako chadema.
. mtoa mada namuunga mkono kwa asilimia zote vile vile wew upo ktk makundi hayoUtafiti wako bado unaukakasi weka namba ya idadi ya masikini unaosema ndio wengi afu tupe na ushahidi wa ama video au sauti zao.
Pia tutajie angalau majina 1900 ya watoto wa vigogo wanaonufaika na ccm.
3 hilo kundi la wasiojielewa wewe pia upo ndani yake vinginevyo nitakuwa bado namashaka na research yako ambayo haina evidence.
Ccm siyo chama cha matajili hata kidogo mafisadi na matajili wako chadema.