Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

Waliwadanganya sana na nyimbo nyingi na taraabu ila mwisho wao umefika ccm imekufa kifo kibaya sana kifo cha mende!
 
Ni kwa sababu wana elimu duni.Ndiyo maana watu elimu kubwa huoa wanawake wenye elimu duni ili iwe rahisi kuwaburuza
 
Utafiti wako bado unaukakasi weka namba ya idadi ya masikini unaosema ndio wengi afu tupe na ushahidi wa ama video au sauti zao.
Pia tutajie angalau majina 1900 ya watoto wa vigogo wanaonufaika na ccm.
3 hilo kundi la wasiojielewa wewe pia upo ndani yake vinginevyo nitakuwa bado namashaka na research yako ambayo haina evidence.

hebu angalia ngome kuu za ccm,ni kanda ambazo ziko nyuma kimaendeleo!Hebu angalia ngome za upinzani,ni maeneo yenye maendeleo na elimu!
 
Kwasababu masikini wengi ni wajinga, hawana elimu, hawajitambui, wana njaa etc
 
Utafiti wa mdau umekuchapa!!?

Umenichapa Kivipi?Mimi Sipo Kwenye Makundi Hata Moja Kati Ya Hayo Aliyosema....Ni Utafiti Wake Na Utabak Kua Hvo Na Mimi Namsifu Kwa Alichotafiti Wengine Watakubali Na Wengne Watakataa Thats Democracy!
 
Uko kundi namba 2

sema utakavyo hisi na niweke kundi utakalo but ukwel naujua mwenyewe,sababu ya kuipenda ccm naijua mwenyewe sio kwamba ni perfect sana la hasha lakini kwa ninachokiamini na kwa dhamira niliyonayo inanifanya niwe mwanaccm...
 
kila siku nasema ujinga na umaskini ukifutika tz,ndio mwisho wa ccm.
 
Kuna misingi na taratibu za utafiti ili uaminike. 1. Hoja ya utafiti 2. Vidodoswa vya utafiti 3. Kiasi cha sampuli (sample size. Stratification or disaggregation of samples) 4. Eneo au maeneo ya utafiti 4. Uwakilishaji wa matokeo ambayo yanabebwa na takwimu zisizokuwa na shaka. Utafiti wako una mashaka. Badoq una muda wa kuurudia kwa kufuata misingi ya utafiti.
 
Umenichapa Kivipi?Mimi Sipo Kwenye Makundi Hata Moja Kati Ya Hayo Aliyosema....Ni Utafiti Wake Na Utabak Kua Hvo Na Mimi Namsifu Kwa Alichotafiti Wengine Watakubali Na Wengne Watakataa Thats Democracy!

Kataa kwa tafiti sio kukataa tu
 
Kwa akili yako ndogo unaamini kabisa kuwa fisadi Lowassa ndo ataangamiza umasikini Tanzania? Utasubiri sana. Mpaka mabilioni ya marafiki zake ya Rudi kwanza ndo aanze kujipanga. Tingatinga naamini angalau atajaribu!
 
kwa sababu wanatishwa wakichagua upinzani kutatokea machafuko kama libya,syria au rwanda na burundi sasa wanaogopa yakitokea hawana nauli ya kuwafanya waende uamishoni kirahisi
 
Kataa kwa tafiti sio kukataa tu

Tafiti Gan Unazotaka Wew?Unataka Kuniambia Wote Wanaopgia Ukawa Ni Matajiri?Unataka Kuniambia Watu Wote Wa Ukawa Hawafaidiki Na Hii Serikali?unataka kuniambia wapiga kura wa ukawa wote wanajua kusoma na kuandika?
 
Si hivyo tu, CCM pia inawapenda sana maskini. Kwa hiyo inafanya kila hila ili waendelee kuwa maskini ili CCM iendelee kuwepo. Endapo UKAWA itachukua dola, namna pekee ya kuhakikisha CCM hairudi madarakani kamwe ni kupeleka elimu na mawasiliano vijijini.

Nakuhakikishia, elimu ikifika Bahi na Kongwa, CCM imeaga dunia
 
Si hivyo tu, CCM pia inawapenda sana maskini. Kwa hiyo inafanya kila hila ili waendelee kuwa maskini ili CCM iendelee kuwepo. Endapo UKAWA itachukua dola, namna pekee ya kuhakikisha CCM hairudi madarakani kamwe ni kupeleka elimu na mawasiliano vijijini.

Nakuhakikishia, elimu ikifika Bahi na Kongwa, CCM imeaga dunia

Kwahyo Nyie Ukawa Wenzetu Mnapenda Matajiri Tu?Naona Kuna Ukwel Ndan Yake Ndomana Lowassa Akawanunua...Sasa Wewe Kupeleka Elimu Vijiji 2 Kati Ya Elfu Ndo Unaindoa Ccm?Na Nan Kakwambia Vijiji Vingne Hamna Elimu Na Mawasiliano?
 
Back
Top Bottom