MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Kumbuka hata michango yetu tuliyowachangia ndugu zetu nayo aliitekaMafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Hayo ni matamshi tu, ila kiukweli ukiduatilia alitoa misaada vzr na alikarabat majengo yaliyopata madharaRais wa hovyo. Alizidiwa na Kenyatta alitoa misaada. Eti sikuleta tetemeko. Bull shit.
Badala ya kukoncentrate kuelezea mafuriko na huo msaada wewe unaelekeza nguvu zako kumjadili marehemuMafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Nafikiri alishapata malipo ya ukatili wake au vp?Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Bado tunamwongelea Nyerere hata miaka 1000 ijayo. Kila mtu ataongelewa jinsi alivyo!Badala ya kukoncentrate kuelezea mafuriko na huo msaada wewe unaelekeza nguvu zako kumjadili marehemu
Hakuwa na akili sawasawa.Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Magufuli alikuwa mshenzi tu bana, mazuri gani alifanya? Mtu ambaye anasema nitawafanya matajiri waishi kama mashetani anaweza akawa na zuri?Ila katika mambanga makali ya Marehemu, lile la Kagera lilikuwa kubwa sana. Alikosea mno na akavumiliwa, lakini alikuja kufanya mbanga jingine kubwa zaidi miezi michache kabla hajafariki, mbanga ambalo lilitikisa mno nchi hii hadi kufanya wenzake washindwe kumvumilia hadi wakavunja utamaduni uliokuwepo tangu nchi hii kupata uhuru...
Lakini pia, kusema marehemu alikuwa amejaa mabaya tu, nadhani ni kukosa uungwana. Kuna mazuri na makubwa aliifanyia Tanzania, japo kuna wengine bado hawataki kukubali. Nadhani muda ndiyo utasema kweli.
Yote tisa, tumefika hapa tulipo kwasababu kuna mahesabu mazito ambayo marehemu na mitume wake walikosea kuyahesabu vizuri. Walikata mti waliokuwa wameukalia. Namuombea sana Raisi Samia na yeye asiige kutaka kukata mti anaoukalia, hata kama anadhani unamkwamisha kwenye baadhi ya mipango yake ya baadaye...
Lilikuwa jitu la hovyo snRais wa hovyo. Alizidiwa na Kenyatta alitoa misaada. Eti sikuleta tetemeko. Bull shit.
Kwa hiyo umegundua kumshambulia Magufuli na kumsifu Mama kuna fursa sikiliza we mpumbavu fanya ujasiriamali achana na huu usiokuwa na uhakika.Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Kwani pesa ilienda wapi? Hujaona huduma za kijamii zikiimalika.?Umeelewa mada lakini? Kwanini watu wamechanga pesa kwa ajili ya waliopata changamoto iliyotokea nje ya uwezo wao lakini pesa zilizochangwa akala na kashfa akawamwagia, ukizingatia yeye ni chief comforter?
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Kakuachia shahawa ambayo imeshapata yai ndani yako ndio maana humsahau...Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Ukatili ulitokea kwa sababu kuu kuwa mkoa ule serikali kwa ujumla huwa haiupendi kabisaa kutonana na kukaliwa watu wabishi. Mkoa umekumbwa majanga mengi sana nadhani ndio unaongoza kwa majanga. Tangu kuwepo kwa marumbano ya kisiasa toka enzi za Nyerere mkoa huu ulichukiwa kila mtu. Angalau kwa sasa kuna mabadiriko sana. Watu wameforciwa kupenda wahaya kwa sababu hawabadiriki na hamna jinsi ya kuwabadiri. Fursa za ajira nchini zilivyofinywa wahaya wakatafutiana wengi kazi ulaya. Kwa sasa serikali na watakwimu wao wa kiswahili wanapiga promo kwamba kagera ndio ya mwisho kwa watu wenye kipato cha chini. Wao wanasema sawa tu tuendelee. Maendeleo ya kule ni kimya kimya wakija kushutuka imepaa mara dufu.Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
View attachment 2478896
Eti mwamba,Maskini wajane mmejazana kwenye huu uzi kumlilia mwamba kiaina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mwamba wako ni motoni tu, hakuna option nyingine. Bila Mungu kuingilia kati sijui nchi hii ingekuwa wapiRest well mwamba John Pombe Magufuli
HAPA KAZI TUU
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
KAZI UENDELEE
@Pascal Mayalla mwenyewe aliwahi kushushuliwa kuwa yeye ni njaa. Anyway alikuwa anajipendekeza kutetea tumbo lakepascal anatuambia kwamba yupo mbinguni kwa baba yake.Unamuamini kweli?[emoji848]