Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Sitaki maneno tupe ushahidi wa upigaji wake! Vinginevyo wewe ni vuvuzela tuNikishakupa utafanya nini ewe msukule?
Huyo mwizi wa mitihani atatetewa na mjinga kama wewe tu, hawezi kuwa mwizi wa makaratasi ya mitihani akaacha kuwa mwizi wa rasilimali za taifa, never.
Kwani alisema uongo au ukweli?Tatizo aliingia wizarani kwa kumsulubu Magufuli kuwa hakuwahi kukarabati mitambo ya TANESCO, hili kosa litagharimu sana.
Usijifanye huelewi. Watu hawana imani na januari makamba kwani alimkashifu na kumpinga magufuli. Ujue umma wa wananchi walimpenda sana na kuamini uongozi wa magufuli. Kwa hivyo mtu yeyote aliyeonyesha kumchukia magufuli lazima awe matatani na umma. Mama aliwaudhi wengi kumuweka makamba huku akijidai yeye na magufuli ni kitu kimoja. Watu wanaamini makamba ni mpigaji maana yeye na rafiki yake nappe wapo kwenye orodha ya watu waliopora mali za chama. Pia makamba wala hana weledi wa kuongoza wizara nyeti kama nishati.Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.
Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.
Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
kina makamba na nape mnabadilishana tu ID HUMU..nani asiyejua january ndo KIGOGO mjanja mjanja anayecheza na media lakini kinachofanikiwa hamnaReputation ya January iliharibika zilipovuja sauti zao na nape wakimteta Rais na magazeti ya msiba yalichangia kumpaka matope. Lakini pia ugumu wa wizara ya nishati kuhusika sana na ufisadi awamu ya nne ambayo ilimkuza sana kisiasa. Ila kijana Yuko smart sana japo ni opportunist kama wengine.
Kuna kiongozi flani alipanda chuki sana ili kujifaidisha yeye kisiasa na kundi lake wachache tuliliona hili, kiongozi hiyo hakuwa na compromise na baadhi ya watu ambao pengine alihofia umaarufu wao hivyo aliwasiliba kwelikweli Watanzania wakaishi nayo. Ukiwa na kiongozi ambae hajali kuhusu maridhion ( conciliation ) muogope kama ukoma anaweza kupasua nchi vipande
Mabadiliko yawe chanya! Hamna mtu atakuwa na tatizo nae kabisa...Sio matatizo yanaongezeka halafu unataka asiambiwe huo ni uzwazwaKwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.
Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.
Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Achana na page za kupika majungu bro hazibabilishi chochote kwenye mifumo ya uwajibikaji wa nchi yetukina makamba na nape mnabadilishana tu ID HUMU..nani asiyejua january ndo KIGOGO mjanja mjanja anayecheza na media lakini kinachofanikiwa hamna
Hivi nyie jamaa huwa mna ubongo kweli kama binadamu au mna matope?Kaka usipende ku generalize vitu unakosea tena sana, utendaji wa wizara hautegemei mtu mmoja tena waziri ambae ni msimamia sera tu na utekelezwaji. Makamba hana professional ya mambo ya nishati ila ana moral authority ya kusimamia uwajibikaji. Kumbuka bro wizara ni taasisi kuba viongozi wengi tu kuanzia katibu mkuu mpaka mameneja. Tuache chuki tukumbushane Watanzania wote kutimiza wajibu wetu kikamilifu ili kuliletea maendeleo Taifa letu tukufu. Narudia acha chuki
Uongo mtupu, mara matengenezo yalikuwa hayajafanyiwa kwa muda mrefu, jana tena tunamuona anakagua mito na mabonde kuangalia maji..Kwani alisema uongo au ukweli?
Wewe tupe ukweli wako na ushahidi wakoUongo mtupu, mara matengenezo yalikuwa hayajafanyiwa kwa muda mrefu, jana tena tunamuona anakagua mito na mabonde kuangalia maji..
Tuamini lipi sasa kati ya mitambo kutofanyiwa ukarabati ama sababu ya upungufu wa maji.?
Ukweli ni kwamba JM ni mpigaji tu, umejaza watu mitandaoni wa kumtetea na kupamba lakini hamna kitu.Wewe tupe ukweli wako na ushahidi wako
Wewe ni sehemu ndogo sana kwenye taifa lenye watu million sitini wenye akili kama wewe au zaidi yako. Wewe endelea kupika majingu tu kuona wenzako wajinga kumbe huna lolote weka hapa plotting scheme ya kumeweka makamba kufanya ufisadi, au kulinda ufisadi. Makamba kama waziri anawajibika kwa Rais unataka kesama mkuu wa nchi ni corrupt. Take care bro Tanzania niyetu woteHivi nyie jamaa huwa mna ubongo kweli kama binadamu au mna matope?
Jamaa amewekwa pale kimkakati na kufanikisha mishe za kifisadi! Haiingii akilini eti mtu akodishe system kwa 70 billions. Hilo linatosha tu kuona msimamizi wa wizara hayupo kulinda maslahi ya Wizara.
Ndio yale yale, hela unayotafta kwa jasho huwezi kwenda kuspendi mshahara mzima kwa starehe ikiwa majukumu ni mengi yanahitaji fedha. We unaweza funga CCTV kamera za million 500 kamera 3 ilihali zipo za laki 8?
Ila hela ikiwa hutoi wewe utafunga za mil.500 kirahisi ila hela ikiwa yako huwezi kubali kufunga zaidi ya za laki 8!
Ni yenu wezi sio wazalendo tunaokatwa tozo ambazo hatuelewi mnazifanyia nini maana bado mnakopa kwa mgongo wa kujenga madarasa na hospitaliWewe ni sehemu ndogo sana kwenye taifa lenye watu million sitini wenye akili kama wewe au zaidi yako. Wewe endelea kupika majingu tu kuona wenzako wajinga kumbe huna lolote weka hapa plotting scheme ya kumeweka makamba kufanya ufisadi, au kulinda ufisadi. Makamba kama waziri anawajibika kwa Rais unataka kesama mkuu wa nchi ni corrupt. Take care bro Tanzania niyetu wote
Ndio ile nyerere alisema unatoa dhahabu kwa mawe. Hawa kina january wanapapatikia chochote toka nje kwa kujua kuna ulaji. WalaaniweHivi nyie jamaa huwa mna ubongo kweli kama binadamu au mna matope?
Jamaa amewekwa pale kimkakati na kufanikisha mishe za kifisadi! Haiingii akilini eti mtu akodishe system kwa 70 billions. Hilo linatosha tu kuona msimamizi wa wizara hayupo kulinda maslahi ya Wizara.
Ndio yale yale, hela unayotafta kwa jasho huwezi kwenda kuspendi mshahara mzima kwa starehe ikiwa majukumu ni mengi yanahitaji fedha. We unaweza funga CCTV kamera za million 500 kamera 3 ilihali zipo za laki 8?
Ila hela ikiwa hutoi wewe utafunga za mil.500 kirahisi ila hela ikiwa yako huwezi kubali kufunga zaidi ya za laki 8!
Aliiba nini tupe ushahidi hapaNI MWIZI wananchi wote wanajua hilo na dwa yake inachemka
Mwamba sina imani nae tu personalyNdio ile nyerere alisema unatoa dhahabu kwa mawe. Hawa kina january wanapapatikia chochote toka nje kwa kujua kuna ulaji. Walaaniwe
Usiishi kwa kuwanyoshea watu vidole sio njia sahihi ya kujenga, nchi yetu nikubwa sana kuliko unavyojua wewe. Tanzania tunaishi na mawazo ya kupenda kuhudumiwa kila kitu inafanya serikalii hivyo ni vema kila mtanzania mzalendo ajisikie fahari kulichangia taifa lake. Kama kuna flauding kuna mamlaka zinawajibika pia wananchi wanapaswa kuwauliza viongozi wao kama madiwani, wabunge wao kupata mrejesho. Kuwa matured kujenga hoja, kutoa maoni, kuelimisha au kuleta ripoti ya utafiti kutoka kwenye vyanzo vinavyoaminikaNi yenu wezi sio wazalendo tunaokatwa tozo ambazo hatuelewi mnazifanyia nini maana bado mnakopa kwa mgongo wa kujenga madarasa na hospitali