Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

kwa sababu kimeunganishwa na tabia mbaya!
vinginevyo ni wali wa kawaida wenye rangi nyama yake ikachanganywa na mtindi,nyanya nyingi vitunguu vilivyoungua na viungo vya pilau kwisha!
Eti tabia mbaya!Mariam huyo ndio alileta balaa😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…