Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hahahahaha..hapana..mbn hata maelezo unayoyatoa tu ni ya kitaalamu [ Chef ] uko vzr
Kwani wewe unapika wali au biriani?Hakuna mtu asiyejilua kupika waliπ
Hadi sisi wa vijijini tunajua
Anauzia wapi tukanunue tuleOok kumbe wewe la kuuza!nilijua la nyumbani..hapo sawa
Hii ya kuku au nyama...kiazi yai ?
Hii ya nyama ya ng'ombeHii ya kuku au nyama...kiazi yai ?
Oooh tisha sanaHii ya nyama ya ng'ombe
Naendelea kukutafutia mchumba baby sista...au umehairisha? Maana si kwa pishi hili
Hahahahaha..Dodoma tunaendaUmeona eeh na wewe atupe location!utasikia Dodomaπ
Jamanu umenenepa..hebu tupia kasura jamani ww mtani
Daaah hiyo rangi ya biriani la yangz kama maparachichi π€£ π€£ π€£ asante sana mtani..Wala sijanenepa mtani
Ndio kwanza nimekonda zaidi
Karibu biriyani la Yanga mtaniπ
Karibu tena selfika
πSijahairisha dada πTena nitafutie anaependa kula iyo combination itakuwa balaaππNaendelea kukutafutia mchumba baby sista...au umehairisha? Maana si kwa pishi hili
πππDaima mwiko πππDaaah hiyo rangi ya biriani la yangz kama maparachichi π€£ π€£ π€£ asante sana mtani..
Ila linaonekana tamu mchambuko
Umelipika mwaya hongeraWala sijanenepa mtani
Ndio kwanza nimekonda zaidi
Karibu biriyani la Yanga mtaniπ
Karibu tena selfika
Tunadumisha asili ya green cityππππππππππDaaah hiyo rangi ya biriani la yangz kama maparachichi π€£ π€£ π€£ asante sana mtani..
Ila linaonekana tamu mchambuko
Biryani ni wali uliochangamkaKwani wewe unapika wali au biriani?
Rangi rangiUmelipika mwaya hongera
Na ubwabwa jeBiryani ni wali uliochangamka
Ubwabwa ni ubwabwa wa tangu enzi na enziNa ubwabwa je