Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Tunadumisha asili ya green city😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imekolea balaa hadi nikachambwa na walaji,Mimi muda sina
Hutaki kula Yanga 💚 lala na njaa.
Siji mgahawani kwako nikija mbeya..labda kama una weka na rangi ya mnyama.... 😆 😆 😆
 
Mi sijawahi kula biriani ila nampenda Mariam Biriani
 
Napajua vizuri kabisa,kitambo....Ule mtaa una misosi sana hata pale mbele kama unaelekea ushirika mida ya jioni Kuna Sekela na Chicken lemon balaa,,
Hahahahaha pale kwenye sekela karibu na Binslum ? We uko vzr ..hiyo ni mitaa yangu kila ijumaa kama leo kama nikiwa vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…