Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie Waafrika mpigwe kwa jambo lipi? Kwanza hata hamjitambui kwa lolote, iwe giza au iwe nuru nyie mpompo tu.Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Jiulize toka lini Umoja wa Afrika unaisaidia Afrika? Kile chombo ni useless kabisa.Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Ni shiraka la kujihami la Nchi za Magharibi sio nchi za Africa.Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Chadema ikichukua nchi 2025 kama tunavyotarajia nitashauri tujiondoe AUJiulize toka lini Umoja wa Afrika unaisaidia Afrika? Kile chombo ni useless kabisa.
Huyo muuaji, dikteta Putin hawezi kuvamia Afrika kwa sababu siyo tishio kwake kwa lolote.Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Kwa Nini!!?Chadema ikichukua nchi 2025 kama tunavyotarajia nitashauri tujiondoe AU
Hatuwezi kujiunga wala kutegea NATO kwa sababu Nato ni genge la mumiani wapenda kumwaga damu za watu. Vita zote zilizotoka toka kuisha kwa enzi za 'vita baridi' na kuporomoka kwa kambi ya mashariki, zimeletwa na kuasisiwa na Nato: Iraq, Afghanistan, Yemen, Syria, nk, yote ni mauaji ya Nato.Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Jamani jamani hivi lakini hivi huyu ndugu yetu hata anafahamu nini maana ya NATO? Kwa nini hakuanza na hilo kabla ya kuuliza kwa nini nchi za afrika haziruhusiwi kujiunga na NATO?Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Maana yake endeleeni kutetea slave masters wenu badala ya kuangalia njia rahisi ya kutumia huu mgogoro kujiimarisha.Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
HopelessJiulize toka lini Umoja wa Afrika unaisaidia Afrika? Kile chombo ni useless kabisa.
Afrika kuna wachawi wakali sana. Putin atapotezwa na nuclear zake mkononiHuyo muuaji, dikteta putin hawezi kuvamia Afrika kwa sababu siyo tishio kwake kwa lolote
Umeniacha hai kama nimepigwa nuclear na PutinNyie Waafrika mpigwe kwa jambo lipi??--- kwanza hata hamjitambui kwa lolote, iwe giza au iwe nuru nyie mpompo tu.
African leaders need to meet immediatelyJiulize toka lini Umoja wa Afrika unaisaidia Afrika? Kile chombo ni useless kabisa.