Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 460
- 373
NAM ilikuwa naturally baadae ya cold.war kukoma, ni wakati sasa wa AU na nchi nyingine kinda umoja mwingine wenye malengo kama ya NAM...Halafu kwa sasa imefikia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAM ilikuwa naturally baadae ya cold.war kukoma, ni wakati sasa wa AU na nchi nyingine kinda umoja mwingine wenye malengo kama ya NAM...Halafu kwa sasa imefikia wapi?
Nuclear zilianza na Biashara ya utumwa na utumwa.Nyie mlishapigwaga na nyuklia ya akili kipindi cha ukoloni. Mmebakia kushabikia tu. Maana hamna mnalolijua
Kwa akili yako unadhani NATO wanaogopa kundi kubwa la askari ?Yaani Urusi imevunja makubaliano yaliyofanywa baina yake, NATO na Ukraine kuhusu silaha za nyuklia. Kuna jamaa mmoja aliandioka kuwa hilo ni kosa kwa vile Urusi itaweza kuinyanasa Ukraine, ila Ukraine wao waliamini kuishi bila uadui, sasa hivi putin amewaharabia nchi yao kwa kubomoa karibu kila kitu na kuuwa watu hovyo. Halafu eti anataka Ukarine iandike kuwa haitajiunga na NATO ilhali yeye tayari alishaonyesha kuwa haheshimu makubalino. Kinachonisikitisha ni pale NATO imeshindwa kuingilia kati kuiokoa Ukraine na uharibifu huo.
Kitu kimoja nimejifunza, ni kuwa jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ila lina mabomu mengi na makombora mengi ambayo ndiyo wanatumia tu. Inapokuwa kupambana ana kwa ana wamekuwa wanashindwa vibaya sana. Wanategemea mabomu ndiyo yafanya kazi ye kuua watu karibu wote kwenye mji halafu wao waingie kukiwa hakuna upinzani wowote.
Kwani unadhani kuwa NATO hawana hayo Mabomu? Halafu Inaelekea hujui matumizi ya mabomu kwenye vita; mabomu yote ya mizinga na ya kudondoshwa na ndege "air support". Lengo lake ni kumdhaifisha adui kabla ya ground assult. Hata Libya, mabomu yalitumika hivyo kwa vile ground assault ilikuwa inafanywa na jeshi la uasi. Siyo mabomu yaliyoiangusha serikali ya Libya bali ni wale wapiganaji waliokuwa ardhini.Kwa akili yako unadhani NATO wanaogopa kundi kubwa la askari ?
NATO wanaogopa hayo mabomu, hata Libya ilisambaratishwa kwa mabomu. NATO walifurumushwa na Mrusi ndani ya Syria kwa kutumia mabomu sio askari. Kama issue ni askari, warabu wasingeshambuliwa na wazungu maana wana askari hodari na wenye ujasiri kuliko wazungu lakini hawama uwezo wa kupambana na wazungu.
Bomu la leo ni sawa na bunduki enzi za utumwa, tuliingizwa utumwani kwa sababu hatukuwa na bunduki na ipo siku tutashambuliwa na mabomu mazito na hao wazungu na hatutakuwa na cha kuwafanya.
North Korea hatoshambuliwa na NATO kwa sababu ya Nuclear Bom. Iran haishambuliwi na Islael kwa sabu ina mabomu mengi kama ilivyo islael. BOMU ndio koka kitu ika waafrika tupo tupo gu hatujielewi tutakuja amka pindi tupo kwenye minyororovya wazungu.
Askari hata awe shupavu vipi hawezi vumilia bomu.
HAWAWEZI, wao wako bize kuiba na kulindiana maslahi huku wakihakikisha wapinzani hawachukui nchi na kuwafunga.African leaders need to meet immediately