- Thread starter
- #21
HahahWakuu endeleeni kuchangia basi Thread hiyo, tuendelee kupata burdan....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahWakuu endeleeni kuchangia basi Thread hiyo, tuendelee kupata burdan....
WW3 Putin mwemyewe hatokuwa hai utakuwa Una cheza mziki wa USA na uk hapo tutajutia uhuruHuyo muuaji, dikteta putin hawezi kuvamia Afrika kwa sababu siyo tishio kwake kwa lolote
Nadhani viongozi wetu wengi MUNGU amewaacha wajiendee wenyewe maana haiwezekani na rasilimali zooote zilizopo afrika bado kuna njaa, umasikini , maradhi na ujinga!Chadema ikichukua nchi 2025 kama tunavyotarajia nitashauri tujiondoe AU
Sasa WW3 tirafanyage maana hata uk washatupa independentNadhani viongozi wetu wengi MUNGU amewaacha wajiendee wenyewe maana haiwezekani na rasilimali zooote zilizopo afrika bado kuna njaa, umasikini , maradhi na ujinga!
Mtu asiyejali wa nyumbani mwake ( waafrika wenzie) ni mbaya kuliko asiye amini!
Yaani HMaana yake endeleeni kutetea slave masters wenu badala ya kuangalia njia rahisi ya kutumia huu mgogoro kujiimarisha.
Mpaka sasa African Union imekaa kulaani ujinga badala ya kukaa na kupanga mipango namna ya kuwauzia bidhaa wazungu wawe slaves wetu
Miafrika bana, leo unakutana na mwafrika anasifia Putin au Zelensky as if ni baba zake wadogo. Waafrika bana
are you kidding meNyie Waafrika mpigwe kwa jambo lipi??--- kwanza hata hamjitambui kwa lolote, iwe giza au iwe nuru nyie mpompo tu.
Haya mambo ya Mungu atusaidieNadhani viongozi wetu wengi MUNGU amewaacha wajiendee wenyewe maana haiwezekani na rasilimali zooote zilizopo afrika bado kuna njaa, umasikini , maradhi na ujinga!
Mtu asiyejali wa nyumbani mwake ( waafrika wenzie) ni mbaya kuliko asiye amini!
Naona mnataka kuenzi falsafa mwendazake, alikuwa hapendi haya mambo anatuma wasaidizi wake tu😆Chadema ikichukua nchi 2025 kama tunavyotarajia nitashauri tujiondoe AU
NATO maana yake moja ya nchi zake ikipigwa, nchi zingine zinaenda kusaidia. Sasa nchi za Africa ziko tayari kupigana kwa mfano kama America ikipigwa au Ufaransa ikipigwa?Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia .Matokeo yake tumeyaona .Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi .Sasa Sisi nchi za africa tutatetewa na NATO au ndio basi
Hata kutumia silaha za jadi hatujajua bado, ...Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia. Matokeo yake tumeyaona. Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi. Sasa Sisi nchi za Africa tutatetewa na NATO au ndio basi.
Wew jamaa huna akili huwezi kumwita hivyo Rais Putin mtu anayekataa uhuni wa MarekaniUkraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia. Matokeo yake tumeyaona. Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi. Sasa Sisi nchi za Africa tutatetewa na NATO au ndio basi.
Duh! Sisi labda itakuwa ni labour force yao !! Au ??!Nyie Waafrika mpigwe kwa jambo lipi? kwanza hata hamjitambui kwa lolote, iwe giza au iwe nuru nyie mpompo tu.
Bado tinajilimbizia kwanza ili watoto na wajukuu wasipate tabu, maana sisi tinazaa sana walemavu !!!Nadhani viongozi wetu wengi MUNGU amewaacha wajiendee wenyewe maana haiwezekani na rasilimali zooote zilizopo afrika bado kuna njaa, umasikini , maradhi na ujinga!
Mtu asiyejali wa nyumbani mwake ( waafrika wenzie) ni mbaya kuliko asiye amini!
Ndio maana Nyerere na wenzake walianzisha NAM....Ukraine waliambiwa msiwe na nuclear mkiingiliwa Kivita tutawasaidia. Matokeo yake tumeyaona. Sasa inavyoonekana kichaa Putin ataanzisha www 3 maana haambiliki Sasa Hivi. Sasa Sisi nchi za Africa tutatetewa na NATO au ndio basi.
What is NamNdio maana Nyerere na wenzake walianzisha NAM....
Non Aligned movementWhat is Nam
Wewe mwenzetu ni mzungu??.Nyie Waafrika mpigwe kwa jambo lipi? kwanza hata hamjitambui kwa lolote, iwe giza au iwe nuru nyie mpompo tu.
Jiulize toka lini Umoja wa Afrika unaisaidia Afrika? Kile chombo ni useless kabisa.
Nyie Waafrika mpigwe kwa jambo lipi? kwanza hata hamjitambui kwa lolote, iwe giza au iwe nuru nyie mpompo tu.
Kaa kutulia huijui dunia weweHatuwezi kujiunga wala kutegea NATO kwa sababu Nato ni genge la mumiani wapenda kumwaga damu za watu. Vita zote zilizotoke toka kuisha kwa enzi za 'vita baridi' na kuporomoka kwa kambi ya mashariki, zimeletwa na kuasisiwa na Nato, Iraq, Afghanistan, Yemen, Syria, nk, yote ni mauaji ya nato.
Hata hii ya Ukraine, chimbuko kabisa ni uroho wa Nato. Wakafie mbali hao mumiani wapenda kumwaga damu za watu.