Hivi kwanini sisi binadamu tukipata mafanikio kidogo tunavimba sana?

Hivi kwanini sisi binadamu tukipata mafanikio kidogo tunavimba sana?

Wanasema tabia ya mtu utaijua baada ya kupata pesa
Hapana sio hivo! Kwani kipindi anapitia msoto alikimbiwa na ndugu na jamaa! Lakini Mungu si athumani anatuombea mema sana.
Alafu waafrika tuna kasumba sana mtu akifanikiwa watu wanajisikia vibaya roho ya mbaya sana hiyo.
Kwani Diamond, harmonize, 50 cent, floyd myweather (Money weather) wakati wanapitia msoto unajua ni dharau ngapi na kutengwa walikutana nazo??? Acha watu wafaidi maisha.

Ukipata matatizo/umasikini ni mbaya sana utadharaulika sana, utatengwa sana, tena usishangae mpaka ndugu zako wa damu..
Siku ukitoboa utaona simu mpaka sijui za marafiki zako waliokutenga 10 years ago.

Aiseeh Mungu Anipe hekima kwenye hili. Imagine umetengwa na kudhalauriwa siku ukitoboa watu wanajileta embu nambie Utafanya Maamuzi gani?
 
Nilikuwa na ndoto ya kumiliki kitanda leo imetimia, nina furaha sana, nimeweka status kuonyesha kitanda changu.

Na ndoto inahama sijui nitakapofika kwenye ndoto ya kumiliki latest TOYOTA LC na ikatimia utakuwa kwenye hali gani maana ntaweka bango mtaani nikiwa naendesha.
 
Kwanza kwa nature ya kazi yake hiyo aliyopata na lifestyle yake ni vitu viwili tofauti.

Kuna Kazi ukiwa unafanya hutakiw kupost post mambo yako binafsi.. sasa kuweka kitanda ndio mafanikio? Kuna wachangiaji humu akili zao si nzr.

Limit unachotakiw watu waone.. kuvimba kwenye status inayodumu 24hrs si mafanikio.. unaweza kuweka na watu wasiview vile vile.

Vimba moyoni.. Vimba kichwani Jiamini tembea kwa furaha kwa kupata achievement fulani.
 
Nilikuwa na ndoto ya kumiliki kitanda leo imetimia, nina furaha sana, nimeweka status kuonyesha kitanda changu.

Na ndoto inahama sijui nitakapofika kwenye ndoto ya kumiliki latest TOYOTA LC na ikatimia utakuwa kwenye hali gani maana ntaweka bango mtaani nikiwa naendesha.
Walahi unarogwa
 
Kuvimba ni ushamba wa mtu binafsi pia background ya alikotoka, nimekutana na watu wengi waliofanikiwa, wengine watoto wa vibopa wazito lakini ukicheki wanavyo socialize unaweza usiamini. Ila pia kuna waliofanikiwa kutoboa wanavimba kama vifutu mtu hadi anajifanya amekusahau
 
Kwanza kwa nature ya kazi yake hiyo aliyopata na lifestyle yake ni vitu viwili tofauti.

Kuna Kazi ukiwa unafanya hutakiw kupost post mambo yako binafsi.. sasa kuweka kitanda ndio mafanikio? Kuna wachangiaji humu akili zao si nzr.

Limit unachotakiw watu waone.. kuvimba kwenye status inayodumu 24hrs si mafanikio.. unaweza kuweka na watu wasiview vile vile.

Vimba moyoni.. Vimba kichwani Jiamini tembea kwa furaha kwa kupata achievement fulani.
Hii nimeichukua kwa mikono miwili.
 
Kuvimba ni ushamba wa mtu binafsi pia background ya alikotoka, nimekutana na watu wengi waliofanikiwa, wengine watoto wa vibopa wazito lakini ukicheki wanavyo socialize unaweza usiamini. Ila pia kuna waliofanikiwa kutoboa wanavimba kama vifutu mtu hadi anajifanya amekusahau
Kwamba wakifanikiwa hapokei simu za watu😀
 
Habari za asubuhi wana JF poleni na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku ilimradi njia ya kwenda msalani isiote nyasi.

Husika kwenye mada iliopo hapo juu sijui ni kwanini sisi binadamu hasa tuliotokea maisha magumu yaani mtu kanunua gari tu, kajenga nyumba au kapata kazi basi ni vurugu huko mtandaoni yaani ni kero zile show off.

Mfano mzuri kuna rafiki yangu kasota sana mtaa kapata bahati ya kwenda polisi sasa kamaliza juzi aisee anavyovimba huko what's up status ni balaa mpaka nasema hivi ni nature ya binadamu wote au?

Nawasilisha wakuu.
Mkuu,

Unapata wapi muda wa kufuatilia Whatsapp status ya mtu?

Huyo anatimiza haki yake ya kikatiba na kibinadamu ya kujieleza, wewe inakupunguzia nini akilimbuka kupata kazi Polisi?
 
Habari za asubuhi wana JF poleni na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku ilimradi njia ya kwenda msalani isiote nyasi.

Husika kwenye mada iliopo hapo juu sijui ni kwanini sisi binadamu hasa tuliotokea maisha magumu yaani mtu kanunua gari tu, kajenga nyumba au kapata kazi basi ni vurugu huko mtandaoni yaani ni kero zile show off.

Mfano mzuri kuna rafiki yangu kasota sana mtaa kapata bahati ya kwenda polisi sasa kamaliza juzi aisee anavyovimba huko what's up status ni balaa mpaka nasema hivi ni nature ya binadamu wote au?

Nawasilisha wakuu.
Huo ni upuuzi tu wa rafiki ako
 
Huenda wakati anakula msoto wana nao walikuwa hawapokei simu zake
Dunia hii ukipata nafasi vimba tu uwezavyo maadam hujavunja Sheria za nchi
Dunia hii ukimsikiliza kila mtu anavyosema kuhusu wewe utajikuta kila unachofanya ni kama unakosea
Vijana nasema hivi ukipata gepu vimba tu
Kwamba wakifanikiwa hapokei simu za watu😀
 
Ego inasumbua Ego ni self identify hali ya kupenda attention

Usimchukie wala kukereka the guy is play his part according to his Ego

Cha muhimu Elewa kuna Ego negative na ego positive zote hazifai and it's fade away after being aware

Sasa wewe mkuu Una Ego negative na rafiki yako Ana ego positive.

Ushauri
Hakikisha unajifunza na kuelewa binadamu hufanya mambo kutokana na hisia zao na sio hisia zako

That's why MTU Akiwa na hasira hawezi kumchangamikia MTU na akiwa na furaha anataka ile furaha yake iwe appreciated na watu wote


Hitimisho
Rafiki yako Ana tatizo Ila wewe ndo unatatizo kubwa Sana .
 
Back
Top Bottom