Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
- Thread starter
- #41
Ngoja namimi nijitafuteUkiwa unasota matusi kejeli za kila rangi leo umezipata kijana vimba tu vaa pamba kali ishi Kama mfalme Suleiman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja namimi nijitafuteUkiwa unasota matusi kejeli za kila rangi leo umezipata kijana vimba tu vaa pamba kali ishi Kama mfalme Suleiman
Kuvimba ni ushamba wa mtu binafsi pia background ya alikotoka, nimekutana na watu wengi waliofanikiwa, wengine watoto wa vibopa wazito lakini ukicheki wanavyo socialize unaweza usiamini. Ila pia kuna waliofanikiwa kutoboa wanavimba kama vifutu mtu hadi anajifanya amekusahau
Ukishazipata hata ndugu ambao hukuwahi kuwasikia watakuja tena wao ndiyo watajitambulisha kwakoNgoja namimi nijitafute
Ww kinachokutesa ni kipi Labda? Mtu kanunua harrier yake used mwache avimberafiki yangu kasota sana mtaa kapata bahati ya kwenda polisi sasa kamaliza juzi aisee anavyovimba huko what's up status
Kabla hujamhukumu kuwa kapata pesa kawa na dharau jaribu kuangalia background yake aliyopitia huenda alipitia msoto wa maumivu makali sanaPesa inaleta jeuri,kujiamini
Dharau kwa baadhi ya watu
Ova
Kabla hujamhukumu kuwa kapata pesa kawa na dharau jaribu kuangalia background yake aliyopitia huenda alipitia msoto wa maumivu makali sana
Matusi kejeli kinyanyapaliwa
So na ujue kuna watu wako vile ni kwa sababu sisi ndiyo chanzo cha hayo
Ndo maana wajeda wanakuwaga wakali sanaKabla hujamhukumu kuwa kapata pesa kawa na dharau jaribu kuangalia background yake aliyopitia huenda alipitia msoto wa maumivu makali sana
Matusi kejeli kinyanyapaliwa
So na ujue kuna watu wako vile ni kwa sababu sisi ndiyo chanzo cha hayo
Acha wawe wakali ule msoto mpaka uje uume jezi za jwtz umesotaNdo maana wajeda wanakuwaga wakali sana