Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

Nunua hiyo
_20211103_215040.JPG
 
Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.

Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.

Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.

Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.

Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Najua hii haikos kweny orodha yako [emoji1]
_20211103_215040.JPG
 
Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.

Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.

Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.

Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.

Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Hahaha umetisha
 
Jitambue na usipende kujidanganya,unafikiri kila mtu anafurahishwa na body odour yako!ni kama anayeingia chooni kujisaidia, huwezi kuona karaha ya harufu ya choo chako,ila ukitoka na mtu mwingine akaingia ndio atagundua kuwa mzigo wako una harufu mbaya kwa kiwango gani,penda kunukia...
It doesn't irritate bro...wala husikii kitu. Ukipishana na mimi au kukaa na mimi ni kama uko na fresh air tu.

Perfum ya nini sasa!!?
 
That's you remember?? Wote hawawezi kuwa kama wewe... Imagine unasafiri na mtu from Dar to Dodoma au Mwanza na vile Bus zetu zilivyo, wewe unafunga kioo mwenzio anakifungua halafu ndiyo uwe unanuka kikwapa njia nzima?? No way aisee...
Sasa ndo ujimwagie.. !?
 
Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.

Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.

Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.

Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.

Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Duh!! Una tatizo mkuu.

Kifupi umepata addiction.
 
Wagumu kama nyama ya nanihii ile sehemu ya kike ya yule ng'ombe wa kike, ukiipika hata utumie gesi haiajwah kuwa laini[emoji3][emoji3][emoji2][emoji1][emoji16]
Tumia kistaarabu.
 
Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.

Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.

Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.

Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.

Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Duh aise we umetishaa[emoji38]
 
Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.

Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.

Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.

Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.

Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Tuko wengi mkuu,na ukiona mtu mpaka anapaka perfume wakati wa kulala huyu ujuwe ni wale tu wanaopenda kunukia na sio kuvuta attention ya watu kama wengi wanavyodhania,unakuta unapenda tu kunukia vizuri.Mimi kwa mfano nikishapiga perfume ile ninayoipenda kuna aina flani ya raha naisikia kwenye moyo wangu,huwa najisikia vizuri sana...
 
Ofisini kwangu walitaka kuleta hii kitu eti wengine wana matatizo ya kiafya na perfume hivyo wanaojipulizia wawafikirie wenzao na hivyo kuachana na kujipulizia. ME na KE wanaopenda perfume wakagoma kwamba hao wenye matatizo ya kiafya wasiwasogolee [emoji23][emoji23][emoji23] au kupita karibu na maeneo yao. Basi management ikanyoosha mikono juu.
Mimi pamoja na matatizo yangu ya kiafya ila marashi siachi.


Kweli tusipangiane,,kama wao hawapulizi basi wasitake wote tunuke kibeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache ushamba aisee.

Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee.

Inakera sana.

Uzi tayari.


What are ones perimeters ??!!
 
Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.

Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.

Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.

Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.

Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Watuache tunukie.


Chumba changu kinanukia Muda wote hadi naambiwa nitaleta majini.

Kiukweli napenda nikipita niache kaharufu ka perfume yangu.
Na ninavyozimix ...
Huu mtindo wa kupuliza kwenye nguo na bag kumbe tunao wengi.
Hela yangu heri nisile mjini ila ninunue perfume,, najitahidi kila baada ya siku chache angalau nirudi na taste mpya nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watuache tunukie.


Chumba changu kinanukia Muda wote hadi naambiwa nitaleta majini.

Kiukweli napenda nikipita niache kaharufu ka perfume yangu.
Na ninavyozimix ...
Huu mtindo wa kupuliza kwenye nguo na bag kumbe tunao wengi.
Hela yangu heri nisile mjini ila ninunue perfume,, najitahidi kila baada ya siku chache angalau nirudi na taste mpya nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe tupo wachache tulio walevi wa pafyum [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom