bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
Nunua hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua hii haikos kweny orodha yako [emoji1]Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Hahaha umetishaNinavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Haswaaaa..!!Najua hii haikos kweny orodha yako [emoji1]View attachment 1997580
Akikereka Sana avae barakoa mbona rahisi khaaaUhuru wako unapoishia ndipo uhuru wa aliyejipulizia perfume unaanzia. Aliyejipulizia perfume ana haki ya kufanya hivyo bila uhuru wake kuingiliwa na yeyote yule.
It doesn't irritate bro...wala husikii kitu. Ukipishana na mimi au kukaa na mimi ni kama uko na fresh air tu.Jitambue na usipende kujidanganya,unafikiri kila mtu anafurahishwa na body odour yako!ni kama anayeingia chooni kujisaidia, huwezi kuona karaha ya harufu ya choo chako,ila ukitoka na mtu mwingine akaingia ndio atagundua kuwa mzigo wako una harufu mbaya kwa kiwango gani,penda kunukia...
Sasa ndo ujimwagie.. !?That's you remember?? Wote hawawezi kuwa kama wewe... Imagine unasafiri na mtu from Dar to Dodoma au Mwanza na vile Bus zetu zilivyo, wewe unafunga kioo mwenzio anakifungua halafu ndiyo uwe unanuka kikwapa njia nzima?? No way aisee...
Duh!! Una tatizo mkuu.Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Vaa 😷Kuna mtu unapishana nae toilets unabaki unashanga...ametoka kukojoa au kuny@ pafyumu... !!?
Sasa mpate avue boxer au ch*pi.. Utahama room.
Oga vizuri bhana. Jiamini.
Duh aise we umetishaa[emoji38]Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Tuko wengi mkuu,na ukiona mtu mpaka anapaka perfume wakati wa kulala huyu ujuwe ni wale tu wanaopenda kunukia na sio kuvuta attention ya watu kama wengi wanavyodhania,unakuta unapenda tu kunukia vizuri.Mimi kwa mfano nikishapiga perfume ile ninayoipenda kuna aina flani ya raha naisikia kwenye moyo wangu,huwa najisikia vizuri sana...Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Mimi pamoja na matatizo yangu ya kiafya ila marashi siachi.Ofisini kwangu walitaka kuleta hii kitu eti wengine wana matatizo ya kiafya na perfume hivyo wanaojipulizia wawafikirie wenzao na hivyo kuachana na kujipulizia. ME na KE wanaopenda perfume wakagoma kwamba hao wenye matatizo ya kiafya wasiwasogolee [emoji23][emoji23][emoji23] au kupita karibu na maeneo yao. Basi management ikanyoosha mikono juu.
Tuache ushamba aisee.
Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee.
Inakera sana.
Uzi tayari.
Watuache tunukie.Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
Aisee kumbe tupo wachache tulio walevi wa pafyum [emoji3][emoji3]Watuache tunukie.
Chumba changu kinanukia Muda wote hadi naambiwa nitaleta majini.
Kiukweli napenda nikipita niache kaharufu ka perfume yangu.
Na ninavyozimix ...
Huu mtindo wa kupuliza kwenye nguo na bag kumbe tunao wengi.
Hela yangu heri nisile mjini ila ninunue perfume,, najitahidi kila baada ya siku chache angalau nirudi na taste mpya nyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo wengi mkuuAisee kumbe tupo wachache tulio walevi wa pafyum [emoji3][emoji3]