Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

Ukipanda bus mkakutana na aliyetumia hutu tudude akishuka nusu ya basi mna mafua.

Hivyo ni habari nyengine!
 
Ninawaza.
Mtu kupulizia kabati perfume?
Mbona mimi nikifungua kabati langu la nguo automatic linanukia....
Yaani perfume nazotumia hata ufue nguo bado harufu zinabaki....
Yaani tamu balaaa....
Kabati ukifungua hadi raha harufu yake....
 
Jaribu hii kitu hautajuta
IMG-20220819-WA0000.jpg
 
Uhuru wako unapoishia ndipo uhuru wa aliyejipulizia perfume unaanzia. Aliyejipulizia perfume ana haki ya kufanya hivyo bila uhuru wake kuingiliwa na yeyote yule.
Uhuru unamfuata mtu mita mia. Enewei umepotea sana
 
Usiombe nikamate pafyumu yangu.
Kola la kulia «Pyuu pyuu pyuuu

Kola la kushoto «Pyuu pyuu pyuu

Kwapa la kulia «pyuu pyuu pyuu

Kwapa la kushoto«Pyuu pyuu pyu

Kuzunguka mkunjo wa t-shirt « Pyuu pyuu pyuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom