Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
AaahTuache ushamba aisee.
Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee.
Inakera sana.
Uzi tayari.
[emoji3]unajipuliza kidogo tu lakini kitu kinaitika vyema kabisaInategemea ni pafyum gani.
Unakijua kipafyum kinaitwa cobra ama mariam, zinakera mpaka bhasi afu unakuta mtu kajikandika.
Hebu jipulizie bitter peach 6 spray.
Utanishukuru baadae.
Mama.e....umetisha. U're smell maniac. Kuna watu wengi harufu nzuri kwao ni addiction,wanajifunika shuka na kujipulizia za kila aina.Ninavyopenda Perfume eeh
Ni bora uninyonge kuliko kuacha kutumia.
Nina perfume zaidi ya 30
Ni kitu nikipendacho mno.
Nikiingia ofisini lazima watu wote wajue nimeingia.
Hadi wateja wameshazoea kusikia perfume zangu,wasipoiskia wanajua nimetoka either nimeenda msikitini au sajaja kazini.
Nikioga usiku wakati wa kulala lazima nijipulizie Perfume kidogo hasa bodyspray ndio nipande kitandani hata kama ni saa nane usiku.
Kabati langu lazima kila weekend nikipanga nguo lazima lipuliziwe perfume hata bag langu la safari lazima nguo zikishapangwa then linapulizwa perfume bag zima then linafungwa tayari kwa safari.
Ukishika chochote changu lazima ubaki na perfume iwe simu, iwe ufunguo, kalamu, keybord, saa nk, nikikaa pia nikinyanyuka kwenye kiti lazima niiache.
zile za 5000 ukitembea juani tu unaanza kunuka mwili sio spray tena.Mtu anajipulizia zile za 5000 lazima ukere watu tu
akili pia inatulia na confidence inaongezekaTuko wengi mkuu,na ukiona mtu mpaka anapaka perfume wakati wa kulala huyu ujuwe ni wale tu wanaopenda kunukia na sio kuvuta attention ya watu kama wengi wanavyodhania,unakuta unapenda tu kunukia vizuri.Mimi kwa mfano nikishapiga perfume ile ninayoipenda kuna aina flani ya raha naisikia kwenye moyo wangu,huwa najisikia vizuri sana...
😂😂zile za 5000 ukitembea juani tu unaanza kunuka mwili sio spray tena.
Perfume huwa ina add value...😂😂
Deodorant nzuri sana huna hata haja ya perfume
Na deodorant muhimu kuliko perfumePerfume huwa ina add value...
Ni kweli,unaweza ukakosa perfume lkn sio deodorant...Na deodorant muhimu kuliko perfume
Yaan deodorant kwanza halaf jipulizie perfume ewaaaNi kweli,unaweza ukakosa perfume lkn sio deodorant...
Unahisi mtu anatamani hadi akulambe...[emoji3]unajipuliza kidogo tu lakini kitu kinaitika vyema kabisa
una kaugonjwa ka wivu, chuki na ushamba ndani yake.Tuache ushamba aisee.
Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee.
Inakera sana.
Uzi tayari.
Hii nimepewa Zawadi.Aiseee!!!!
Poa .Hii nimepewa Zawadi.
Hizi ndio zile mtu yuko kule anaisikia.
Kama chumba chako ukiacha wazi dirisha harufu mpaka nje..
View attachment 2014198