UTAKUWA NA SHIDA SANA YAKUJIKUBALI DESPITE UREFU ULIONAO INFACT UNA MAPUNGUFU MENGI MNOO NA MALEZI YAKO NI DUNI NA MABAYA
MTU MWENYE UTU NA ALIYEKARIBU NA KUKAMILIKA HAJISIFU WALA KUPONDA MADHAIFU YA WENGINE.........
WEWE NI MTU WA OVYO ULIYELELEWA NA WATU WA OVYO OVYO
PROVE ME WRONG....................NGONGOTI MMOJA WEWE!
Usidharau maumbile ya mwenzako.Hakuna aliyejiumba.Kafupii alaf ukute kana matako manene na kamechomekea uwiiii,huwa najikaza bt nacheka tukipisha , hihihiiih hata waki react hawanifikii,
[emoji23][emoji23][emoji23] Tatizo zaidi lipo kwenye gubu, kah hivi vimtu vingi Ni hatari vinazira na visirani Ni noma,
We umemuona babako au basha wako kashonewa suti oversize au ya kuazima, akawa kama katuni ukaja kuanzisha uzi. Huwa wanapendeza sana hasa wanapovaa suti za size zao. Ninafahamu watu wafupi wengi sana ambao suti zinawapendeza.Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.
Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Vipuuzi Sana hivyo vimtu vina gubu la kijinga jingaNa inferiority complex kwa sana.
Yani akiwa ndio mume au Mpenzi mwanamke inabidi uwe makini zaidi katika kuhusiana ili kuepuka kumkwaza mara kwa mara.
Lakini msiwaseme vibaya tumuogope Mwenyezi Mungu nyie !
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mnatusem San jaman[emoji23][emoji23][emoji23] au ukute mwanaume mfupi na ana matege alafu avae suruali nyekundu, khee!!!! Kwa mbali akitokea unaweza sema ni "plaizi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuseme wote, AMINA [emoji120][emoji120][emoji120]Mungu alivomjuzi atakujibu soon katika kizazi chako.
Wewe ni mfupi au mrefu??Ila JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu, tena utakugusa kwa namna mbaya.
Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23] Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
Mimi sio mfupiWewe ni mfupi au mrefu??
Ok.Wewe ni kibonge au kimbaumbau??Mimi sio mfupi
Mimi sio kibonge hata kimbau mbau sioOk.Wewe ni kibonge au kimbaumbau??
Acha uvivu wa kujibu maswali yangu.Hujui Mimi napenda tuendelee kuchati,Sasa nikiuliza mara moja nitauliza nini tena???.Mimi sio kibonge hata kimbau mbau sio
Uliza maswali yote basi,moja moja nitaanza kuona uvivu kujibu
Kama unapenda tuendelee kuchat uko sawa kabisa kuuliza swali moja mojaAcha uvivu wa kujibu maswali yangu.Hujui Mimi napenda tuendelee kuchati,Sasa nikiuliza mara moja nitauliza nini tena???.
Halafu Joanah,hiyo avatar ni picha Yako halisi ??.Kama unapenda tuendelee kuchat uko sawa kabisa kuuliza swali moja moja
Hapana,inaanzaje kuwa picha halisiHalafu Joanah,hiyo avatar ni picha Yako halisi ??.
Basi naomba unitumie picha yako halisi PM[emoji2957][emoji2957]Hapana,inaanzaje kuwa picha halisi
Hili limeishaBasi naomba unitumie picha yako halisi PM[emoji2957][emoji2957]
Utanitumia picha yako eenhh??!!.Hili limeisha