Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi sio mdau wa kuomba mizigo nikishamsaidia mtu, kwanza kutongoza kwenyewe nimesahau, nina miaka zaidi ya 45 imepita tangu nitongoze mara ya mwisho.
Sio lazima iwe hivyoNdo inatakiwa iwe ivyo
Wazee wa hovyo wakisaidia/wakisaidowa hawana tabia ya kurudi nyuma kuomba urafiki wa kuwekana...🤪
Wewe mtoto wa afumbili bado sana.tuko pm yake tunamshauri...🤣
Babuuuuuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣Binafsi sio mdau wa kuomba mizigo nikishamsaidia mtu, kwanza kutongoza kwenyewe nimesahau, nina miaka zaidi ya 45 imepita tangu nitongoze mara ya mwisho.
Na sote tunafahamu, Mwanafunzi kama hajajisomea na kurudia rudia alichofundishwa huwa anasahau 🤗
Basi nisaidie.Wazee wa hovyo wakisaidia/wakisaidowa hawana tabia ya kurudi nyuma kuomba urafiki wa kuwekana...🤪
Dada, upo dunia gani unayoishi bila kujua maisha na tamaduni halisi ya jamii?Katika maisha ya kawaida binadam kusaidiana ni kitu cha kawaida. Haijalishi unamfahamu au humfahamu kama mtu anahitaji msaada msaidie tena bila kutegemea kitu chochote in return.
Kuna hii tabia wanaume ukiwasaidia lazima baadae warudi wakutongoze. Sijui huwa wanawaza nini! Umesaidiwa toa shukrani zako kisha nenda haina haja ya kutaka kuleta mazoea mengine.
Nakutana na hili mara nyingi sana nashindwa kuelewa inaonekana msaada ni kitu cha ajabu sana kwa wanaume hawaamini kama mwanamke anaweza kutoa msaada bila kuhitaji chochote kutoka kwao. Maana wao wamezoea hawatoi msaada hasa kwa jinsia tofauti mpaka wahakikishe kuna kitu atapata kutoka kwa mtu anayemsaidia.
Ukisaidiwa shukuru kisha ondoka usitake kuleta mazoea, wengine hatupendi mazoea na shobo zisizokua na maana.
Sisi tulishawekana🏃🏃🏃🏃🏃🏃Basi nisaidie.
Sasa hili ndilo jibu la hapo juu kweli🤣🤣Sisi tulishawekana🏃🏃🏃🏃🏃🏃
mh! pole kama unafikiri mi wa alfu mbiliWewe mtoto wa afumbili bado sana.
Kwahy ww n mwanamke umetoa msaada kwa mwanaume?Sijataka msaaada mimi ndo nilietoa msaada
Wewe ndio umeshindwa kuelewa tunayopitia sisi!Sijataka msaaada mimi ndo nilietoa msaada
Nimefanyaje Mjukuu? Babu yenu nahitaji twisheni, vinginevyo baridi litaniua 😜Babuuuuuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣
Jifunike blanketi.Nimefanyaje Mjukuu? Babu yenu nahitaji twisheni, vinginevyo baridi litaniua 😜
Mwanamke huna cha maana cha kumsaidia Mwanaume zaid ya "Self lubricating tubular meat"Katika maisha ya kawaida binadam kusaidiana ni kitu cha kawaida. Haijalishi unamfahamu au humfahamu kama mtu anahitaji msaada msaidie tena bila kutegemea kitu chochote in return.
Kuna hii tabia wanaume ukiwasaidia lazima baadae warudi wakutongoze. Sijui huwa wanawaza nini! Umesaidiwa toa shukrani zako kisha nenda haina haja ya kutaka kuleta mazoea mengine.
Nakutana na hili mara nyingi sana nashindwa kuelewa inaonekana msaada ni kitu cha ajabu sana kwa wanaume hawaamini kama mwanamke anaweza kutoa msaada bila kuhitaji chochote kutoka kwao. Maana wao wamezoea hawatoi msaada hasa kwa jinsia tofauti mpaka wahakikishe kuna kitu atapata kutoka kwa mtu anayemsaidia.
Ukisaidiwa shukuru kisha ondoka usitake kuleta mazoea, wengine hatupendi mazoea na shobo zisizokua na maana.