Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Hii nzuri sana ila wengi hawajui.Hivi na kwenu hii imekaaje, mwanaume akikusaidia na wala asitake mazoea kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nzuri sana ila wengi hawajui.Hivi na kwenu hii imekaaje, mwanaume akikusaidia na wala asitake mazoea kabisa.
Usisahau kutuandikia urithi🤣🤣🤣Unataka Babu yenu nikufwe?
Vibaya hivyo 😅
Mm binafs nafurahia sana sabbu najua ni mtu mwema pia napenda kuwa karibu na wat Kwa Nia njema isiwe zaidi naamini mahusiano mara nying huishia kuwa uaduiHivi na kwenu hii imekaaje, mwanaume akikusaidia na wala asitake mazoea kabisa.
Hahaha ................vibaya hivyo 😅Usisahau kutuandikia urithi🤣🤣🤣
Kweli nimekuza Mjukuu 😜Mm binafs nafurahia sana sabbu najua ni mtu mwema pia napenda kuwa karibu na wat Kwa Nia njema isiwe zaidi naamini mahusiano mara nying huishia kuwa uadui
Una bikra 🤔Katika maisha ya kawaida binadam kusaidiana ni kitu cha kawaida. Haijalishi unamfahamu au humfahamu kama mtu anahitaji msaada msaidie tena bila kutegemea kitu chochote in return.
Kuna hii tabia wanaume ukiwasaidia lazima baadae warudi wakutongoze. Sijui huwa wanawaza nini! Umesaidiwa toa shukrani zako kisha nenda haina haja ya kutaka kuleta mazoea mengine.
Nakutana na hili mara nyingi sana nashindwa kuelewa inaonekana msaada ni kitu cha ajabu sana kwa wanaume hawaamini kama mwanamke anaweza kutoa msaada bila kuhitaji chochote kutoka kwao. Maana wao wamezoea hawatoi msaada hasa kwa jinsia tofauti mpaka wahakikishe kuna kitu atapata kutoka kwa mtu anayemsaidia.
Ukisaidiwa shukuru kisha ondoka usitake kuleta mazoea, wengine hatupendi mazoea na shobo zisizokua na maana.
Asante babuKweli nimekuza Mjukuu 😜
Sasa huyo ndio binadamu, sio hizo dipresheni zingine.Hivi na kwenu hii imekaaje, mwanaume akikusaidia na wala asitake mazoea kabisa.
Hahaha........eti umezeeka, wakati umetoka huku Kijiji hata ungo hujavunja na imepita miaka 7 tu 😜Asante babu
Nimezeeka Sasa 😀
Ukiona anakutongoza basi anataka tena msaada kama huo! hayo sio mazoea ni uwezo wako tu wa kuelewa ni mdogoKatika maisha ya kawaida binadam kusaidiana ni kitu cha kawaida. Haijalishi unamfahamu au humfahamu kama mtu anahitaji msaada msaidie tena bila kutegemea kitu chochote in return.
Kuna hii tabia wanaume ukiwasaidia lazima baadae warudi wakutongoze. Sijui huwa wanawaza nini! Umesaidiwa toa shukrani zako kisha nenda haina haja ya kutaka kuleta mazoea mengine.
Nakutana na hili mara nyingi sana nashindwa kuelewa inaonekana msaada ni kitu cha ajabu sana kwa wanaume hawaamini kama mwanamke anaweza kutoa msaada bila kuhitaji chochote kutoka kwao. Maana wao wamezoea hawatoi msaada hasa kwa jinsia tofauti mpaka wahakikishe kuna kitu atapata kutoka kwa mtu anayemsaidia.
Ukisaidiwa shukuru kisha ondoka usitake kuleta mazoea, wengine hatupendi mazoea na shobo zisizokua na maana.
Depresheni tena 😂Sasa huyo ndio binadamu, sio hizo dipresheni zingine.
Ni rahisi sana urafiki kuwa mahusiano ila ni ngumu sana mahusiano kuwa urafiki, mkishaingia ndani ya mapenzi ikitokea mkaachana tayari kuna uadui.Mm binafs nafurahia sana sabbu najua ni mtu mwema pia napenda kuwa karibu na wat Kwa Nia njema isiwe zaidi naamini mahusiano mara nying huishia kuwa uadui
Tupe uzoefu mkuu wanguHii nzuri sana ila wengi hawajui.