Hivi kwanini wanaume wana tabia hii?

Hivi kwanini wanaume wana tabia hii?

Yaani mtoto wa kike kutongozwa tu, uzi tayari...
 
Tatizo lenu wanawake misaada yenu ina mipka na ukomo na masimango juu.
Jamaa umemsadia ndio kaenda karudi kuhitaji msaada tena unaona nongwa na kuyaleta huku?
 
Si kawaida kwa mdada wa kitanzania kumsaidia tu mwanaume.
So, ukifanya hivyo mwanaume atakuwa attracted.. anahisi wewe ni mtu mwema au labda umempenda ndiyo maana ukamsaidia.
 
Katika maisha ya kawaida binadam kusaidiana ni kitu cha kawaida. Haijalishi unamfahamu au humfahamu kama mtu anahitaji msaada msaidie tena bila kutegemea kitu chochote in return.

Kuna hii tabia wanaume ukiwasaidia lazima baadae warudi wakutongoze. Sijui huwa wanawaza nini! Umesaidiwa toa shukrani zako kisha nenda haina haja ya kutaka kuleta mazoea mengine.

Nakutana na hili mara nyingi sana nashindwa kuelewa inaonekana msaada ni kitu cha ajabu sana kwa wanaume hawaamini kama mwanamke anaweza kutoa msaada bila kuhitaji chochote kutoka kwao. Maana wao wamezoea hawatoi msaada hasa kwa jinsia tofauti mpaka wahakikishe kuna kitu atapata kutoka kwa mtu anayemsaidia.

Ukisaidiwa shukuru kisha ondoka usitake kuleta mazoea, wengine hatupendi mazoea na shobo zisizokua na maana.
Una bikra 🤔
 
Sasa kutongozwa nako ni kitu cha kulalamika toa maku watu wakule
 
Katika maisha ya kawaida binadam kusaidiana ni kitu cha kawaida. Haijalishi unamfahamu au humfahamu kama mtu anahitaji msaada msaidie tena bila kutegemea kitu chochote in return.

Kuna hii tabia wanaume ukiwasaidia lazima baadae warudi wakutongoze. Sijui huwa wanawaza nini! Umesaidiwa toa shukrani zako kisha nenda haina haja ya kutaka kuleta mazoea mengine.

Nakutana na hili mara nyingi sana nashindwa kuelewa inaonekana msaada ni kitu cha ajabu sana kwa wanaume hawaamini kama mwanamke anaweza kutoa msaada bila kuhitaji chochote kutoka kwao. Maana wao wamezoea hawatoi msaada hasa kwa jinsia tofauti mpaka wahakikishe kuna kitu atapata kutoka kwa mtu anayemsaidia.

Ukisaidiwa shukuru kisha ondoka usitake kuleta mazoea, wengine hatupendi mazoea na shobo zisizokua na maana.
Ukiona anakutongoza basi anataka tena msaada kama huo! hayo sio mazoea ni uwezo wako tu wa kuelewa ni mdogo
 
Sasa huyo ndio binadamu, sio hizo dipresheni zingine.
Depresheni tena 😂
Mi kuna mdada nilimsaidia sikuzingatia namba nikaja kukutana nae kama mwezi baadae hivi akaniuliza mbona sikuchukua namba, chukua namba yangu au nipe yako, nikampa. Huwa hachoki kunijulia hali.
 
Kama hutaki kutongozwa omba msaada kwa wanawake wenzio, shubaamit
 
Mm binafs nafurahia sana sabbu najua ni mtu mwema pia napenda kuwa karibu na wat Kwa Nia njema isiwe zaidi naamini mahusiano mara nying huishia kuwa uadui
Ni rahisi sana urafiki kuwa mahusiano ila ni ngumu sana mahusiano kuwa urafiki, mkishaingia ndani ya mapenzi ikitokea mkaachana tayari kuna uadui.
 
Back
Top Bottom