mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Ndiyo staili yangu hiyo,mtu akiniboa huwa simuoneshi muda huo huo bali huwa namuweka kiporo siku za mbeleni nakuja kumfanyia bonge la tukio ambalo hawezi kusahau kwa zaidi ya miaka 20Kuna wapole na wakimya. Wengi wanadhani wakimya ni wapole na waongeaji ni machakaramu ila wakishashangazwa ndio akili inarudi
Japo wakimya hata mimi nawaogopa maana unaweza fanya jambo na asitoe any reaction kumbe ushawekwa kwenye plan za mbeleni
Nini kifanyike mkuu
I am in the same boat.
Hii kitu pia niko nayo hadi baadhi ya watu hufikiri mimi ni mchawi maana kila plan zangu ninavyopanga zinakuja kutiki hivyo hivyo.Tunacalculate sana future
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpole
[emoji28][emoji28]upole wao unanivutiaga ni kinyama.sipend mtu anaeongea sana[emoji85]
@khantweWala usiogope, mara nyingine huwa tuna fake uhalisia lkn hapo juu huo ndio uhalisia wangu...usiogope uko salama
Mkuu hata mimi hiyo hali ilinitesa sana hadi nikavuka miaka 30 bado bila bila.Mkuu mimi hulka yangu nimpole (highly introvert ) na ulichosema ni kweli kabisa kwa upande wangu. Nina Miaka 29 nahitaji kuoa ila ndo ivyo unapata bahati ya kuwa na wanana warembo ila mahusiano ayadumu . Nikiona tu tabia sizielew haimalizi ata 2 weeks .
Kuna wakati nafikiria kuzaa tu na mwanamke yoyote then Nilee mtoto ila naona hapana nahitaji kuwa family man. Labda nikutane na introvert mwenzangu tutaendana.
Dear future wife uko uliko ebu fanya fasta uje
Ha ha ha!Mimi ni mpole na mkimya kwa pamoja
Ila nikigusa gambe nawaka kama moto naongea sana.
Namba 3 sjosh4Kwa maono ya watu wengi husema kuwa mimi ni mpore sana, mwenye aibu, mpenda fashion, lakin pia ni mtu mwenye dharau sanaa
Mimi binafsi sijioni humo kama Wao wanionavyo kwa sababu
1; naweza kuingia kwenye mahusiano na mDada mpaka tunaachana muhusika hajui
2; nikikasirika huwa nacheka sana nikiwa mbele za watu lakin nkiondoka mbele ya upeo wa macho yangu naenda kujitibu
3; huwa siwezi kuongea sana niwapo na watu zaidi ya wawili mala nyingi huwa najibu tena kwa mKato lakin nikiwa mwenyewe au nikiwa na mtu ambaye nimemwelewa huwa nageuka mc
4; sijawai kuwa kwenye mahusiano yaliyodumu kwa hata miEzi miwili kwa kuwa nmejiteΕenezea kanuni yangu nimeipa jina la F4 (yaani F exponent 4) ikiwa na maana ya Find, Fuvk, and Forget kwa kuwa sipendi watu wanijue sana
4; nafeel ovyo na nakuwa mkorofi sana nnapoona mtu anashusha my self-esteem
hivyo mimi Siko kama wanionavyo au wanijuavyo ila Nipo kama nijijuavyo
Mkuu hakuna kitu inasumbua watu wakimya kama kukaa kwenye kundi la watu waongeaji,Watu hapa wanachanganya...kuna wakimya, wapole na wenye kiburi. Naona hapa wengi wanawaongelea wakimya na wenye kiburi...eti mtu kutojichanganya nao ni upole? Mtu anaweza kuwa anajichanganya fresh na akawa mpole lakini mwingine mkimya ila mkali pilipili ikasome. Shida kubwa nadhani watu hawaelewi maana ya upole
Sawa kabisa mkuu endelea kufurahiWapole jaman tupo tunaenjoy kuona tunapata sifa toka kwako
Aisee, ukiondoa namba 4,sifa nyingine zote na mwana ni kama zangu.
Kuna time huwa nachoka kuongea, na kutamani kuchil mwenyewe.
Hivi mtu unawezaje kuongea muda wote bila kuchoka!?
Na Mungu atubariki sotePamoja sana mkuu.
Aisee, ukiondoa namba 4,sifa nyingine zote na mwana ni kama zangu.
Kuna time huwa nachoka kuongea, na kutamani kuchil mwenyewe.
Hivi mtu unawezaje kuongea muda wote bila kuchoka!?
Nadhani unaju exemption inakupa privilege mama, usihofuπKwahiyo sentensi ya mwisho ndo umeamua unichane kabisa mwamba!!π₯π₯π₯fresh tu..
ππππNadhani unaju exemption inakupa privilege mama, usihofuπ
Umetutofautisha vizuri sana, kuna mtu ashawahi kujichanganya akijua mi ni mpole baadae alijua hajui..mi ni mkorofi wa kutupwa ila ni mkimyaWapole au wakimya, maana kuna watu ambao ni waongeaji lakini ni wapole.
Ngoja nikusaidie tu , watu wengi hasa wanawake wanachanganya kati ya watu wakimya na wapole.
Upole ni tabia ya ndani, ambayo inatafsiwa Kwa MTU kuwa na huruma, caring na upendo. Na kinyume cha upole ni ukatili.
Na kuna ukimya maana sio muongeaji. Kinyume cha mkimya ni muongeaji.
Kuna watu wakimya halafu wapole pia. Lakini kuna watu wakimya halafu ni makatili. Hawana huruma, upendo na sio caring.
Pia kuna watu waongeaji lakini wapole pia.
Watu wengi wanaingia chaka Kwa kushindwa kujua jambo hili wanapochagua wenza wao, Mara nyingine unaingia Kwa MTU mkimya lakini sio mpole unaishia kuchezea kichapo. Unakuta MTU huyo anakuwa mafia, mwenye tabia mbaya, asiyejali kabisa ila ndio hivyo sio muongeaji.
Ahahaaa....zinang'aaa kama za demu wanguUna lips nzuri!
Hahaaaa sio sana ni vile nakuwa makini kiasi tofauti na kwa watu wengineHapo kwenye wakimya nipo mimi, kwa hiyo unatuogopa bwana..