Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

Me mwenyewe ni mpole na niko hivyo
Hapa nimetoka kuvunja mahusiano na Girlfriend wangu japo sijamtamkia ila kuanzia jana niliapa sitojibu sms wala kupokea simu yake ila haya yote niliyatunza na nikasubiri tu siku flani na kweli ikaangukia jana.

So watu wapole tuko too emotional
Watu wa kimya mnasumbuliwa sana na stress
 
Mpole mmoja alimkatakata mke wake baad ya kuzenguana kitambo, akaweka kwenye kiroba sura juu, akafunga vizuriii, kampelekea Mama mkwe eti nimekuletea zawadi ya mihogo!!! Jamani yule mama mpaka leo amezimia
🙆🏻‍♂️WAPOLE WAPOLE WAPOLE
 
Imagine this;upo na character hiyo toka mdogo,hujichanganyi sana na watu,si mwongeaji sana,unaishi sana katika fikra na mawazo yako,mengi yanaamuliwa katika kichwa chako bila kuhusisha sana ushawishi wa mazingira ya nje.

Baada ya miaka kadhaa unakuwa master ya hiyo kitu.Unaona dalili ya mengi mabaya,unajua dalili hii inamaanisha hivi na italeta mambo fulani.

Na sio katika kuacha tu,pia unaweza angalia tu kwa namna mtu alivyo,anavyoongea,tembea,vaa n.k ukajua hapa sio.

Na shida sio tu kwamba tunawavutia extroverts,na labda tunapenda waongeaji...bali pia tunaofanana nao ni wachache sana,hivyo hisia huzidi akili mara kadhaa na kusema ngoja nijaribu hapa,akili inaporudi unaona hapa sio,unaacha.
 
Mbona mm ni mpole sina izo tabia,

saivi hatulazimishe mwanamke kuwa nae yawezekana anakuepusha na mikosi, mateso na uchawi baada ya kuja kumuoa
 
Ni kama asili tu ya wapole kama mimi huwa wadada ninaodate nao wanasemaga sura yangu muonekano na moyo wangu ni vitu tofauti sana.
Sababu mimi ukinikorofisha nakuacha na huwa sina tabia ya kurudia, nikiacha nimeacha hata uje na magoti au unatambaa.
[emoji3][emoji3]yani uko kama mimi
 
Ukinuna tu waletewa nini vile? Last time sijui uliagiza icecream kisado kizima!!!😛😛😛
Huhuhuhuhuh yeaaaaah le mubebeeeeh, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom