Hivi kwanini wazazi wanawaogopa watoto wao wenye Pesa?

Hivi kwanini wazazi wanawaogopa watoto wao wenye Pesa?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Katika familia nyingi za Kiafrika hususan vijijini wazazi wengi wanawaogopa watoto wao wenye pesa hata kama ni mdogo.

Mtoto huyo mwenye pesa hata akifanya vitu visivyofaa kwa ndugu zake mzazi hawezi kumkanya zaidi ya kumchekea chekea tu.

Hali hii hujenga chuki kwa ndugu zake kiasi kwamba hata akipata changamoto anakosa ushirikiano.

Wazazi tusifanye hivyo watoto wote ni sawa.
 
SOMA HII SIO WAZAZI TU HATA RAISI ANAKUOGOPA UKIWA NA FEDHA 👇

Mwanzo 26:12 Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, Bwana akambariki.

13 Na mtu huyu akawa mkuu, akazidi kusitawi, hata akawa mkuu sana.

14 Akawa na mali ya kondoo, na mali ya ng'ombe, na watumwa wengi. Hao Wafilisti wakamhusudu.

16 Abimeleki akamwambia Isaka, Utoke kwetu, maana wewe una nguvu sana kuliko sisi.

17 Basi Isaka akatoka huko akapiga kambi katika bonde la Gerari, akakaa huko.
 
Katika familia nyingi za Kiafrika hususan vijijini wazazi wengi wanawaogopa watoto wao wenye pesa hata kama ni mdogo.

Mtoto huyo mwenye pesa hata akifanya vitu visivyofaa kwa ndugu zake mzazi hawezi kumkanya zaidi ya kumchekea chekea tu.

Hali hii hujenga chuki kwa ndugu zake kiasi kwamba hata akipata changamoto anakosa ushirikiano.

Wazazi tusifanye hivyo watoto wote ni sawa.
Si kwamba wanawaogopa watoto.Laa hasha.Hela ndiyo zinaogopwa.Tazama kwa umakini.
 
Katika familia nyingi za Kiafrika hususan vijijini wazazi wengi wanawaogopa watoto wao wenye pesa hata kama ni mdogo.

Mtoto huyo mwenye pesa hata akifanya vitu visivyofaa kwa ndugu zake mzazi hawezi kumkanya zaidi ya kumchekea chekea tu.

Hali hii hujenga chuki kwa ndugu zake kiasi kwamba hata akipata changamoto anakosa ushirikiano.

Wazazi tusifanye hivyo watoto wote ni sawa.

Hata mimi nashangaa sana wazazi wangu wananiogopa kumbe kwasababu ni fedha.Ngoja nitafute zaidi hadi majirani waniogope.
 
Kwa hiyo wengine sio watoto


Kuna mambo mengi mzazi anaangalia

Unaweza kuwa hauna PESA Ila Una AKILI unajitambua na kujua nafasi ya mzazi katika maisha yako.

Sasa jitahidi uwe na kimoja AKILI au PESA tofauti na hapo kuipata attention ya MAMA au BABA sio rahis mkuu.
 
Mama mbona maswali mengine yanajibika kwa mifano tuu....

Sasa kwa bongo bongo hapa unakuta mtoto ndo hvo nae kichwani zero.

Hana muda wa kupoteza ukijifanya we mzazi kauzu na yeye anaku shiti huko utajua ww na life lako.

Mtoto kama huyu unategemea asiogopwe na mzazi....
 
Back
Top Bottom