EeeenHeeee!
Nacheka huku nikilia machozi kwa nchi yangu Tanzania.
Tunatoka kwenye kikaango tunaangukia kwenye makaa ya moto mkali.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mfano ulitaka katiba ifanyaje hapa?
Ni life tu mkuu.. acha na chopa naye ale maisha.. kumbuka naye ana wazazi wanamtegemea.. tumuombee mafanikio.. BTW hata hao ambao unawaona wanaweza mwisho wa siku hawafanyi chochote cha maanaMama ni mweupe kichwani hakuna jipya unamteua chopa kua dc au mzee wa wistaz
Ulitaka ateuliwe Nani au akina Nani?!Huyu mama anaanza kukosa mwelekeo wa kuteua
Nilipata shida kidogo kuiweka nilivyoiweka; kwa sababu mwanzo nilitaka kuiweka kama ulivyoiweka hapa wewe.Hapana, usahihi ni tumetoka kwenye moto mkali tumeingia kwenye kikaango.
Mkuu ungekuwa specific basi, unamaanisha woooote hawafai...yaaani mpaka na Jokate [emoji12]!!?
Yaani kweli Nikki wa Pili anaenda kulisimamia na kuwa juu ya jeshi la polisi la wilaya pamoja na maafisa usalama wilaya??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.
DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.
Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!
Mungu ibariki Tanzania!
Ni kweli, lakini sahihi ni kusema "tutaungua tu hamna namna", kwa maana hata nyinyi wapiga vigelegele tumo pamoja kwenye kikaango kisichobagua.Utaungua tuuu hamna namna
Kama una namba yake nitupie huko pm, namkubali Sana kidot.Kanachapa kazi haka kabaiby isee! Mengine hayo ni umbeya tuuΓΊuuuuu [emoji35]!
Mmeanza uchawi wenu siyo?
Si huwa mnademka humu kwamba mama yuko vizuri?
Ulitaka ateuliwa Lisu au? Mtanyooka tu wapuuzi nyie!
Mibavicha sijui mna matatizo gani?
Mods unganisha huu uzi na ule wa uteuzi
Yatakuwa yaleyale maana Mwendazake aliteua makada waliofeli ubunge wote kuwa ma DED,ma DC,ma Das kwa hiyo usitegemee tofauti hivi ni vyeo vya Wana system.Halafu kwa uelewa wangu, nilikuwa najua ma DED angalau ni wale waajiriwa wa serikali wenye uzoefu, mfano wakuu wa idara katika halmashauri. Kwa sababu mkurugenzi anaenda kusimamia uchumi wa halmashauri. Ngoja tusubiri tuone.
Pole kwa kukosa uteuzi mkuu ,wewe komaa kuuza vocha, kusajili line na kilimo cha mapapai hakuna namna ππHakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
Ondoa Uboya, angeachia ngazi angepata hiyo nafasi kivipi? Yule jamaa aliwahi kumshirikisha nani? Uliwahi sikia wapi mtu kuondoka benchi la sub kwakuwa aliye uwanjani anacheza vizuri au vibaya?Huo ni ujinga uliopita kiwango cha lami. Alikuwa makamu wa rais. Je, alikuwa hashirikishwi? Kama ni hivyo kwa nini hakuachia ngazi? Huwezi kuongoza nchi kama NGO, ndio mawazo ya kutumia BTC hayo.
sema ma OCD sio ma RPC.DC ni cheo ambacho hata kisipokuwepo hakuna kitakachokwama.
Sema maRPC ndio watakaopata tabu, imagine utatakiwa kuwaheshimu hao kama wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama[emoji1787]
Uaskari ni kazi ngumu sana.
huna lolote nyumbu.Hii avatar yangu naibadilisha soon, sababu niliyemwamini ananiangusha siku baada ya siku.
Tanzania nchi yangu nakupenda sana
Na RCO ?sema ma OCD sio ma RPC.
rpc ngazi yake ni RC.kama yeye ni mzito basi kazi anayo.
RCO ni ngazi ya mkoa pia,sio kwa DC.Na RCO ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila Rais hatuna Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na bado mtalia sana. Mlikua mnamwaga sifa mkidhan mtabebwa pyeeep