Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

RPC ni wilaya.

OCD ni wakuu wa vituo vya polisi. Mimi mwenyewe nina Anko amewahi kuwa OCD.
mh hapana,kamuulize vyema.

OCD ni mkuu wa polisi wilaya,mkuu wa kituo anaitwa OCS.

RPC ni mkuu wa polisi mkoa.ila kuna mikoa ya kipolisi kama hapa dsm kuna mikoa 4 yote ina ma RPC pia.
 
mh hapana,kamuulize vyema.

OCD ni mkuu wa polisi wilaya,mkuu wa kituo anaitwa OCS.

RPC ni mkuu wa polisi mkoa.ila kuna mikoa ya kipolisi kama hapa dsm kuna mikoa 4 yote ina ma RPC pia.
Kwahiyo nani mkubwa kati ya RPC na RCO ?
 
Women should never lead men in power, politics and authority. Hayo ndiyo matokeo yake ......
 
Yaani kwako wapiga debe hawafahi unataka maprof siyo? Acha tuendelee na wapiga debe wa daladala ndiyo wanajua tatizo la wananchi.
 
DC ni cheo ambacho hata kisipokuwepo hakuna kitakachokwama.

Sema maRPC ndio watakaopata tabu, imagine utatakiwa kuwaheshimu hao kama wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama[emoji1787]

Uaskari ni kazi ngumu sana.
Hii kweli imekaa vibaya sana aisee [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Umeongea niliyotaka kusema! Huyu mwenyekiti wa huu Uzi ni mpuuzi na mbaguzi kuliko! Amewadharau watu bila kujua kama wamemzidi sana.. Kama JPM tu vile alivyokua akaupata Urais sembuse hao vijana wenye utimamu wa akili.
 
Kama jambazi Sabaya aliuweza uDC nani mwingine atashindwa??

Mataga muacheni Mama enu mdogo afanye kazi.
Imagine Bro, eti 7buyer.. jiwe... Kasesera.. Na wale wapuuzi wanaokula mahalalio yetu bungeni wamepewa nafasi nyeti, iweje wengine wakose? Hii nchi ni yetu sote!
 
Hizi dharau za kitoto mwisho wake ni humu humu JF.

Kwanini umdharau mtu kwa aliyofanya jana na juzi?..ina maana hawezi kuwa kajiendeleza kielimu?.

Tuachane na haya majungu ya instagram humu ndani ni maalum kwa great thinkers.
 
Ni kweli kabisa roho za kichawi na wivu ni vitu vinavyomtesa mleta uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…