Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata usitengue best ina ukweli mwingi, kwenye kwaya napangwa sauti ya pili!Mpendwa una sauti gani? Kwa ajili yako nitatengua kauli ikitokea ukawa una sauti laini😂
Weee wanaume wafupi wana hela na wanajiamini kinomaKwa hiyo case yao na wale wanaume wafupi zinaendana?
Hivi sauti ya pili inakaaje vile? Acha niigoogleHata usitengue best ina ukweli mwingi, kwenye kwaya napangwa sauti ya pili!
Duh...sio poaSasa unataka tufanane sauti,?
Mwanaume asipokua na ndevu,asipokua na sauti nzito huwa simwelewi,,,,,,sijuh namuonaje
Napenda mwanaume awe mwanaume,awe na sauti ya mamlaka
Yaani akiniambia sitaki ufanye kitu flani basi naacha.
Mwanaume nikiongozana naye basi nijione niko salama
Sasa ndevu huna
Sauti nzito flan huna
🤔🤔🤔
Aaaaaaaaah
Wana low libido .Naomba ladies mfunguke kuhusiana na hilo swali langu hapo juu..
Asante
Na hela awe hana!Sasa ndevu huna
Sauti nzito flan huna
HELA NI KIGEZO NO 1 ALAFU HIVYO VINGINE VINAFUATIA,YAANI UNAKUAJE MWANAUME ALAFU HUNA HELANa hela awe hana!
Hivi sauti ya pili inakaaje vile? Acha niigoogle
Ila hela ipo sio?View attachment 2971969
Hii ya huyu mheshimiwa ni ya tatu, sasa dhania ya pili itakuwaje.
🤣 ndio maana najisemeaga wengine tupo duniani lakini nje ya mfumo, kwa lugha rahisi hatuhitajiki.HELA NI KIGEZO NO 1 ALAFU HIVYO VINGINE VINAFUATIA,YAANI UNAKUAJE MWANAUME ALAFU HUNA HELA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume ambao hawana sauti nzito wanakumbwa na tatizo pia la kukosa hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Comment yako ya kwanza ni uhalisia mtupu, hivi ulifanya utafiti nini?Ila hela ipo sio?
WanyongeNaomba ladies mfunguke kuhusiana na hilo swali langu hapo juu..
Asante
Sasa mbona mimi nategemea ndio unitoe huku uchochoroni nilipopanga jamaniComment yako ya kwanza ni uhalisia mtupu, hivi ulifanya utafiti nini?