Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Umeandika kama utani ila ni ukweli asilimia 90%Wanaume ambao hawana sauti nzito wanakumbwa na tatizo pia la kukosa hela๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kama utani ila ni ukweli asilimia 90%Wanaume ambao hawana sauti nzito wanakumbwa na tatizo pia la kukosa hela๐๐๐๐
๐คฃ sema nini mwanaume ni mwanaume tu, ukishazaliwa mwanaume hata kama unaluemavu lazima kutoboa tu.Sasa mbona mimi nategemea ndio unitoe huku uchochoroni nilipopanga jamani
๐๐๐๐Umeandika kama utani ila ni ukweli asilimia 90%
Namna hiyo๐๐. Ndio maana ni miongoni mwa watu ninaowapenda humu.๐คฃ sema nini mwanaume ni mwanaume tu, ukishazaliwa mwanaume hata kama unaluemavu lazima kutoboa tu.
Hilo usijali best, na zaidi ya hilo pia! Tuombe uzima.
Asante kuwa miongoni mwao, nami pia na kuzidi, barikiwa.Namna hiyo๐๐. Ndio maana ni miongoni mwa watu ninaowapenda humu.
Ameen๐๐ฝAsante kuwa miongoni mwao, nami pia na kuzidi, barikiwa.
Mbona unanipa jinsia ambayo Sina ๐Wameulizwa "Ladies" broh
Sorry, nitakuwa nimechanganya ID. Kuna njemba Ina jina kama lako ๐คฆMbona unanipa jinsia ambayo Sina ๐
Kuongeza msisimko mwilini ili uchanganyikiwe vyemaZinasaidia nini mkuu?
Ni Moze IyoboHuna sauti nzito
Huna ndevu
Huna pesa
Huna nguvu
Wewe nani sasa ?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ mweeโน๏ธNi Moze Iyobo
We hutaki wa kufanana naye?Sasa unataka tufanane sauti,?
Mwanaume asipokua na ndevu,asipokua na sauti nzito huwa simwelewi,,,,,,sijuh namuonaje
Napenda mwanaume awe mwanaume,awe na sauti ya mamlaka
Yaani akiniambia sitaki ufanye kitu flani basi naacha.
Mwanaume nikiongozana naye basi nijione niko salama
Sasa ndevu huna
Sauti nzito flan huna
๐ค๐ค๐ค
Aaaaaaaaah
๐๐๐๐๐๐๐Nadhani wanawachukulia kama mashoga zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had bas.Wanaume ambao hawana sauti nzito wanakumbwa na tatizo pia la kukosa hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]