Hivi ladies especially wa Tanzania huwa mnatuchukuliaje wanaume ambao hatuna sauti nzito?

Sasa mbona mimi nategemea ndio unitoe huku uchochoroni nilipopanga jamani
🀣 sema nini mwanaume ni mwanaume tu, ukishazaliwa mwanaume hata kama unaluemavu lazima kutoboa tu.
Hilo usijali best, na zaidi ya hilo pia! Tuombe uzima.
 
🀣 sema nini mwanaume ni mwanaume tu, ukishazaliwa mwanaume hata kama unaluemavu lazima kutoboa tu.
Hilo usijali best, na zaidi ya hilo pia! Tuombe uzima.
Namna hiyo😍😍. Ndio maana ni miongoni mwa watu ninaowapenda humu.
 
We hutaki wa kufanana naye?
 
Mike Iron Tyson anasauti ya kipumbavu kama yako alafu ujumlishie na kithembe sipati picha uwe unatukanana naye kwenye simu na hamjuani halafu ujae kwenye kumi nane zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…