Hivi Lazaro aliyefufuliwa na Yesu, alitoa ushuhuda gani kuhusu kuzimu baada ya kufufuka?

Hivi Lazaro aliyefufuliwa na Yesu, alitoa ushuhuda gani kuhusu kuzimu baada ya kufufuka?

Mkuu kwa hii Kasi yako ya kuichunguza biblia, sioni kama utaendelea kuhudhuria kanisani. Mimi baada ya kuanza kujiuliza maswali kama yako, kwa sasa nimebaki mromani mstaafu. Naongea na Mungu direct sitaki tena hivyo vitabu.
Ha ha ha....Tunafanana aisee[emoji28]
 
Tumepewa akili na marifa ila kuhoji mambo haya ni kukufuru Mungu.

Leo hii nimesikio clip ya Mchungaji mmoja maarufu sana(Mchungaji Daniel Mgogo) ambae clip zake husambaa sana mitandaoni akisema, "waliodai Israeli ni Taifa teule,ni Manabii wa Kiyahudi".

Sasa hyu Mchungaji nae anahoji/anapingana na maandiko kama kina sisi?

Mambo mengi muda mchache.
Kumekucha aisee[emoji28]
 
Huwezi kufafanuliwa, yani hivi vitabu mfano wake ni sawa na Nyerere mwaka 1960 anazungumzia jinsi alivyokufa na msiba wake mwaka 1999.

Ni ngumu sana kwa mtu anayetumia akili na logic kuviamini vitabu hivi, hasa kile cha Quran ndio magumashi matupu.
Ngoja nimuite huyo muumini wa hicho kitabu FaizaFoxy
Akiwa kuzimu sio akiwa amerud dunian. Halafu ukiwa unataka kuijua Biblia usisome mstari mmoja mmoja soma kwa muktadha mzima utaielewa. Maana Yesu mwenyewe anasema cc au nyie mmepata kupewa kuzijua Siri za Mungu wengine watasikia au kusoma hawataelewa ndio maana Biblia imeandikwa kwa mafumbo. Wako wakuielewa na wako watakaopotea.
Mmhh!
 
Twambie Sasa maisha ya lazalo yalikua Ni yapi uko kuzimu
Mungu mwenyewe hakutuambia kupitia maandiko yake matakatifu; pumbavu mimi ni nani nithubutu ku-question mamlaka ya Mwenye Enzi yote?
 
Wayahudi hawaamini Moto wala kuzimu, pengine ndio Maana hatuna story za Lazaro, Ukristo wa Mwanzo ulikuwa ni dhehebu la Dini ya Kiyahudi.

Hata Netanyahu Miaka 200 ijayo atakuwa Nabii wa Mungu, story nyingi za dini ni hadithi zilizohaririwa
 
Jinsi

Ambavyo mtu aliyelala fofofo hajitambui ndivyo mtu aliyekufa hajitambui. Utasikia watu "Unafananisha kifo na usingizi?" Ukweli ni kuwa kifo na usingizi vinafanana mno.
Kufananisha uzingizi na kifo ni kukosa maarifa Tu
 
Luka 16 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁹ Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.
²⁰ Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
²¹ naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.
²² Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
²³ Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.
²⁴ Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
²⁵ Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.
²⁶ Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.
²⁷ Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,
²⁸ kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.
²⁹ Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.
³⁰ Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.
³¹ Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.


Hapa panaelezea mtu akifa nini hutokea.
Hivi kama ukweli ni kwamba mtu akifa hatakuwa anajua chochote kinachoendelea ilikuwaje Yesu akatoa mfano kama huu usio na uhalisia ambao unaonyesha kwamba wafu wanakuwa na maisha mengine huko kaburini, na ndugu, jamaa, marafiki na majirani wanaweza kukutana kupiga story kukumbushana ya duniani na hata kutumana? Na kingine, kwa nini kutokana na utata unaoletwa na maandiko haya ambapo yanapingana na mtazamo wa kwamba wafu hawajui chochote kinachoendelea, inalazimishwa (?) na wajuzi (?) wa kutafsiri biblia kwamba hicho kisa hakikuwa cha kweli bali Yesu alikisema kama mfano tu kwenye mafundisho yake? Yaani Yesu kabisa atoe mfano kwa jambo nyeti kama hilo kwa kutumis kisa kisicho na uhalisia wowote na wenye kuweza kupotosha wengi?
 
Yaani eti mtu umeshakufa eti alafu uwe na maisha mengine kwenye ulimwengu mwingine huu ni uwongo!
Mtu akiwa hai na kupata usingizi tu wa kawaida kama hajaota ndoto, kuumwa na mbu au kuguswa na chochote kamwe hawezi kujua kinachoendelea duniani. Sasa akiwa kafa kabisa ndiyo atajuaje kinachoendelea au ku-experience maisha mengine?
 
Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.

Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?

Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?

Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?

Mwenye majibu tafadhali.
Hakuna record popote kwenye Biblia kama alisimulia chochote, lakini baadae alikuja kufa tena.
 
Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.

Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?

Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?

Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?

Mwenye majibu tafadhali.
Kwenye biblia za orthodox kuna details.
Biblia hii kusudi ni tofauti....Ref.aliyofanya Yesu yameandikwa kwa ufupi sana.
 
Mimi sio msomaji mzuri wa Bibilia, ila nimesikia habari ya Lazoro kufa na baadae kufufuliwa na Yesu wakati Yesu bado yuko hapa duniani na tena tunaambiwa alikuwa anatoa harufu.

Swali ni je, Lazaro alihadithia nini kuhusu kifio au hakusema chochote?

Kwa mfano, wakati anakata roho, nini hasa kilitokea?

Na je, alikufa mara ya pili au ilikuwaje?

Mwenye majibu tafadhali.
Hapa hakuna wa kukupa jibu.
Utapewa story tu za kina abunuas na kalikalanje.
Story za kubumba siku zote zinazaa maswali yasio na majibu.
Ndo maana UKRISTO kila siku unafanyiwa ukarabati ili Ukubalike na kila siku unafeli.

UKRISTO ni mradi wenye faida kubwa kwa viongozi wake na ni Kisu kwa maskini.
Ndo maana viongozi wanaoshi maisha ya juu sana hali ya kuwa kondoo wanazidi kumalizika.


Njooni kwenye Dini ya Mungu mmoja. Dini ya usawa.
Wewe na Rais mnasali pamoja na hakuna aliye juu kuliko mwenzake ispokuwa kwenye ibada tu.
 
Yesu alikuwa.sii mpango wake kurudisha wafu kwenye uhai, bali kuonysha demo kuwa wadimchukulie poa. Yule lazaro alikaa.muda kidogo akafa mazima, hivyo hskufunguka siri yoyote
 
Back
Top Bottom