Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

 
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Neno la Mungu limebainisha hayo. Tatizo watu wanapokea mafundisho potofu, hawajui kupambambanua wahubiri feki. Wakiambiwa Yesu yuko kule wanaamini hivyo. Yesu mwenye alionya kuhusu kutokea kwa manabii wa uongo watakaotumia jina lake kudanganya wengi. Watu wamekosa mafundisho sahihi, wanafundishwa uongo huku maandiko hawajui, hatari tupu
 
😳🤔🙌Jmn Kuna mambo duniani
Sa huyo si wapige risasi tu wanasubiri nn?
Na Mali zitaifishwe
 
Pengine huyo mchungaji alikuwa akitumia na madawa/ majini. Mtu unafungaje kavu siku zote hizo? Akili inakuwa wapi muda huo? Udini wa mchongo huo ni hatari sana
Pengine watu walikuwa wakishikiliwa mateka huko maana wengi wamekuwa excommunicated na jamii walikotoka
 
Huyo mchungaji achunguzwe atakuwa anachukua hela zao waumin na kuwaua,haiingii akilin mtu auze kila kitu akampe mchungaji then afunge kula ili afe akamwone Yesu [emoji120]there is more to that story
Labda biashara ya viungo vya binadamu live live huko
 
Unasemaje wewe?
Hao uliowataja wameamua nani? Au wapi uliona wametapeli Watu km huko Kenya?
Au wapi uliona wamewaamrisha Watu kufunga?
Au ndo umejisikia TU kuchafua majina ya Watu?
We mpuuzi kweli, na usipotubu , utashangaa sn!
Hukumbuki tukio la mmoja wao kuigiza akifufua mfu? Au na wewe ni blind follower.
 
Pengine huyo mchungaji alikuwa akitumia na madawa/ majini. Mtu unafungaje kavu siku zote hizo? Akili inakuwa wapi muda huo? Udini wa mchongo huo ni hatari sana
Hakuna cha madawa wala nini!!hivi unajua ukishakubali kuwa brainwashed??wewe?!upande ule mwingine ndio wale wazee wa itikadi kali mtu anajilipua live!!!
 
I sense labda kuna biashara ya viungo vya binadamu huko
Sidhani kwa mazingira yale, na pia kama ungekuwepo huo uhuni basi maiti pia kwa namna moja au nyingine zingeonyesha.

Huyo mchungaji na wasaidizi wake ni wauwaji na waporaji wa mali za watu kwa kigezo cha dini.
 
Pengine huyo mchungaji alikuwa akitumia na madawa/ majini. Mtu unafungaje kavu siku zote hizo? Akili inakuwa wapi muda huo? Udini wa mchongo huo ni hatari sana
Inawezekana pia kuna ka ushirikina hapo, maana ukiangalia scenario ya huyo dada alivyo chotwa ni fikirishi sana.

Yani badala ya kumshitaki mchungaji kwa kumfungisha mtoto mdogo mpaka kufa matokeo yake na yeye akaenda kufungishwa hadi kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…