Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

Nimesha andiak katka Uzi wangu kuwa wajinga wafe tu no maraa wat
 
MAREHEMU BETTY AJENTA CHARLES:

Hadithi ya Betty Ajenta Charles (pichani), inasikitisha. Mwili wake umefukuliwa baada ya kufunga mpaka kufa katika sakata linaloendelea nchini Kenya la Mchungaji Paul Mackenzie ambaye anawafungisha Wakenya hadi umauti ("Fasting to Death") ili wafike Mbinguni kirahisi.

Mwili wake ni kati ya miili 73 iliyofukuliwa katika zoezi la kiuchunguzi linaloendelea kwenye jimbo la Kilifi - Kanisa la Shakahola. Marafiki na ndugu za Betty wamepata mshtuko mkubwa sana.

Betty alikuwa mfanyakazi wa Shirika moja kuubwa la ndege duniani, ambaye aliamua kuacha kazi yake, akauza ardhi yake kwa Kshs 7,000,000 = Tzs 121,170,000 na kumkabidhi "Mchungaji Wakala wa Shetani" Paul Mackenzie wa Malindi - Kenya.

Betty alirejea Kenya kutoka ughaibuni baada ya mtoto wake aitwaye Jason kulazimishwa kufunga hali iliyopelekea mtoto huyo aage dunia. Wakati mtoto huyo wa Betty anafunga kula hadi kufariki, Betty alikuwa nchini Qatar. Mtoto wa Betty, Jason, alikuwa akiishi na babu na bibi yake wakati huo. Haijulikani ni nani alimfungisha mtoto huyo hadi kufa.

Baada ya kupokea taarifa za kifo cha mwanaye, inaelezwa Betty alifunga safari kutoka Qatar hadi Kenya kwa ajili ya mazishi ya mwanaye lakini akapotea na hakujulikana alipo tena.

Dada ya Betty anayeishi eneo la Umoja - Nairobi, anasema Betty aliacha barua ya hisia kali kwa Mume wake akionesha asingelirejea tena milele. Baada ya kuandika barua hiyo Betty aliondoka na wanaye kuelekea Malindi.

Inaonekana alifuta akaunti zake zote za mitandao ya kijamii, akauza vitu vyake vyote kabla ya kupanda Ndege kuelekea Malindi - Kenya.

Rafiki ya Betty anasema, Betty alimuaga akimjulisha kuwa anaenda kuonana ana kwa ana na Yesu siku ya tarehe 08 Aprili 2023 na kwamba alilazimika kuondoka tarehe 07 Aprili 2023. Rafiki ya Betty alipoifuatilia tiketi yake ya ndege akagundua ni tiketi ya moja kwa moja na siyo ya nenda rudi.

Katika msako unaoendelea katika eneo la ekari 800 linalomilikiwa na "Mchungaji Feki" Paul Mackenzie, polisi wamemkamata Mchungaji mwenza anayejulikana kama "Zablon wa Yesu". akiwa anasoma Biblia akieleza yeye angelianza kufunga Juni 2023!
Bado sisi watanzania maana wamama wengi ni wanakunywa mafuta ya upako,mafuta yenyew hatujui yametoka wapi TFDA wapo na hawajaliona hili,TBS wapo wamekaa kimya na TRA wapo hawajaonankwamba kuna kodi yetu hapa kwa huyu mfanya biashara wa mafuta ya upako anaetumia jina la mtume/kanisa kukwepa kodi😀😀
 
Huyo mchungaji achunguzwe atakuwa anachukua hela zao waumin na kuwaua,haiingii akilin mtu auze kila kitu akampe mchungaji then afunge kula ili afe akamwone Yesu 🙏there is more to that story
Hata mimi nadhani iko ivo aiseee.
Na kuna jamaa hapo juu kaandika kua kwa wale waliotala kutoroka walifungwa kamba mpaka wakadanja.

Na wote walikata mawasiliano na walikotoka, jamaa kuna mbinu alikua anazitumia si bure.
 
acha matusi k* wewe, unatakiwa upangue hoja, halafu ujenge hoja yako kusadifu hao unaowaona ni matapeli. Mi nimetoa ufafanuzi wa huduma zao, habari za utapeli wao unazijua wewe. Na wewe elezea hao ni matapeli kivipi? Unakupuka kama umepanuliwa kule. Acha matusi jenga hoja uungwe mkono au upingwe kwa hoja mpuuzi wewe
Mama na baba yako wanatatuliwa malinda kwa sababu ya ujinga na upumbavu ambao na ww umeurithi.

Kuwa na akili hata za kuvukia barabara usije kujikuta na ww unaanza kufirw@ na kina gwajima wafufua watu, Mwamposa muua watu mfuasi wa shetani
 
Kua na elimu na kuelimika ni vitu tofauti,

Unaweza kua na elimu ila ukawa haujaelimika,yani elimu imeshindwa kukukomboa kifikra.
 
Nina hasira hapa mpk najikuta nasonya tuu..
Why uue watt wasio na hatia?.kufa mwenyewe...sipati picha watoto walivyolia mpk machozi yakakauka...mama njaa,mama njaaa
😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭
 
NIna hhsira hapa mpk najikuta nasonya tuu..
Why uue watt wasio na hatia?.kufa mwenyewe...sipati picha wtt walivyolia mpk machozi yakakauka...mama njaa,mama njaaa
😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭
Pole sana,

Njoo PM ili tukapunguze hasira kwa kutembelea maeneo tulivu na kufaidi mema ya nchi.

😎
 
MAREHEMU BETTY AJENTA CHARLES:

Hadithi ya Betty Ajenta Charles (pichani), inasikitisha. Mwili wake umefukuliwa baada ya kufunga mpaka kufa katika sakata linaloendelea nchini Kenya la Mchungaji Paul Mackenzie ambaye anawafungisha Wakenya hadi umauti ("Fasting to Death") ili wafike Mbinguni kirahisi.

Mwili wake ni kati ya miili 73 iliyofukuliwa katika zoezi la kiuchunguzi linaloendelea kwenye jimbo la Kilifi - Kanisa la Shakahola. Marafiki na ndugu za Betty wamepata mshtuko mkubwa sana.

Betty alikuwa mfanyakazi wa Shirika moja kuubwa la ndege duniani, ambaye aliamua kuacha kazi yake, akauza ardhi yake kwa Kshs 7,000,000 = Tzs 121,170,000 na kumkabidhi "Mchungaji Wakala wa Shetani" Paul Mackenzie wa Malindi - Kenya.

Betty alirejea Kenya kutoka ughaibuni baada ya mtoto wake aitwaye Jason kulazimishwa kufunga hali iliyopelekea mtoto huyo aage dunia. Wakati mtoto huyo wa Betty anafunga kula hadi kufariki, Betty alikuwa nchini Qatar. Mtoto wa Betty, Jason, alikuwa akiishi na babu na bibi yake wakati huo. Haijulikani ni nani alimfungisha mtoto huyo hadi kufa.

Baada ya kupokea taarifa za kifo cha mwanaye, inaelezwa Betty alifunga safari kutoka Qatar hadi Kenya kwa ajili ya mazishi ya mwanaye lakini akapotea na hakujulikana alipo tena.

Dada ya Betty anayeishi eneo la Umoja - Nairobi, anasema Betty aliacha barua ya hisia kali kwa Mume wake akionesha asingelirejea tena milele. Baada ya kuandika barua hiyo Betty aliondoka na wanaye kuelekea Malindi.

Inaonekana alifuta akaunti zake zote za mitandao ya kijamii, akauza vitu vyake vyote kabla ya kupanda Ndege kuelekea Malindi - Kenya.

Rafiki ya Betty anasema, Betty alimuaga akimjulisha kuwa anaenda kuonana ana kwa ana na Yesu siku ya tarehe 08 Aprili 2023 na kwamba alilazimika kuondoka tarehe 07 Aprili 2023. Rafiki ya Betty alipoifuatilia tiketi yake ya ndege akagundua ni tiketi ya moja kwa moja na siyo ya nenda rudi.

Katika msako unaoendelea katika eneo la ekari 800 linalomilikiwa na "Mchungaji Feki" Paul Mackenzie, polisi wamemkamata Mchungaji mwenza anayejulikana kama "Zablon wa Yesu". akiwa anasoma Biblia akieleza yeye angelianza kufunga Juni 2023!
Wazichunguze hizo maiti pia. Isijekuwa mchungaji alivuna viungo vya waumini wake akasingizia walifunga, mwisho wa siku mchungaji akawa amepiga pesa ndefu
 
Back
Top Bottom