Hivi lini mwisho HAMAS kurusha roketi kuelekea Israel? Jamaa wamezimwa kabisa

Hivi lini mwisho HAMAS kurusha roketi kuelekea Israel? Jamaa wamezimwa kabisa

Hamas wananifurahisha sana kila siku IDF wanakota maiti kadhaa za wanajeshi wao wanachofanya Hamas wanawainda kama nguchiro😂
 
Hamas Wakirudia Tena Linadondoshwa Kama Heroshima na Nagasaki Ubishi Uishe Ndo Watakuwa na Adabu

Hawana ubavu wa kurudia tena, nadhani hawakutegemea Gaza itafanywa ilichofanywa.....
Uwezo wa kurusha rocket umeisha kabisa

75
 
Kila siku wanasema wanashinda, sasa hivi hata rockets zimeshindikana kurusha, wamejificha, akirusha moja majibu yanakuja ya kufa mtu.
Wanarusha rockets kutoka kwenye chemba za choo sasa hivi.
 
Two state solution haiepukiki kwasasa, kwahiyo watapata nchi kamili
Hakuna kitu hicho, labda one state solution. Unaposema nchi 2 nana apewe Jerusalem? Huo ni mgogoro mwingine. Chuki za kidini zimewafikisha mbali sana hao waarabu na wayahudi
 
Hakuna kitu hicho, labda one state solution. Unaposema nchi 2 nana apewe Jerusalem? Huo ni mgogoro mwingine. Chuki za kidini zimewafikisha mbali sana hao waarabu na wayahudi
Wewe ndiyo unasema ipo siku watapata nchi yao hata wewe ukifa watoto wako watakuwepo wataona.
 
Hii ya Gaza Haijawahi Kutokea wabaki na Mateka ila Gaza Watakimbia Wote hakuna Mpalestina atasahau Kilicho tokea
 
Huko huko Kwa wanawake na Watoto ndo wanaozaa Magaidi Bora Wafe Wote Watachambuana Wenyewe Aheraa
 
Hakuna kitu hicho, labda one state solution. Unaposema nchi 2 nana apewe Jerusalem? Huo ni mgogoro mwingine. Chuki za kidini zimewafikisha mbali sana hao waarabu na wayahudi
Pale kuna kitu wanaita East Jerusalem hiyo ndio eneo ambalo Palestina wanataka wapewe
 
Hawana ubavu wa kurudia tena, nadhani hawakutegemea Gaza itafanywa ilichofanywa.....
Uwezo wa kurusha rocket umeisha kabisa

75
Mara ya mwisho tarehe 29/1/2024 sasa wewe ulitaka warushe kila siku , imepita wiki moja na siku mbili tu
 
Mara ya mwisho tarehe 29/1/2024 sasa wewe ulitaka warushe kila siku , imepita wiki moja na siku mbili tu

Aha wapi jamaa wameliwa, mji umebaki ukiwa, wameshindwa kurusha rockets maana kurusha moja inadunguliwa, halafu inawaletea maafa mara mia zaidi....
 
Wakati hivi vita vinaanza jamaa walikua wanarusha rockets kwa mamia kila siku, ila sasa hivi hawaskiki tena, wakirusha roketi moja, hapo hapo ilipotokea panapigwa kipigo cha mbwa koko.....
---

Defense Minister Gallant claims Hamas leader moving ‘from hideout to hideout,’ IDF on his heels, as soldiers move toward Rafah, seek to stymie resurgence in north of Strip.

Israel’s leaders claimed Monday that the IDF had killed or seriously injured half of the Hamas terror group’s fighters, and said the end of a nearly 4-month-old offensive in Gaza was a matter of months, not years, as fighting was set to spread to the southern metropolis representing the Strip’s final redoubt.

Prime Minister Benjamin Netanyahu vowed that Israel would achieve “complete victory,” even as military officials detailed resurgent fighting in areas of northern Gaza previously cleared by troops. The complicated situation underlines the difficulty Israel faces in meeting its war goals, though it looks to complete an unprecedented sweep by pushing into the southern city of Rafah.

And with Hamas’s top leaders still at liberty, Defense Minister Yoav Gallant insisted that the terror group’s Gaza leader Yahya Sinwar was on the run, out of touch with his fighters, and forced to flee from one hideout to another with the IDF hot on his heels.



Kaiombe picha ya Shoga Cesaro Borgia ikupe baraka 😛 😛 😛 😛

1707307629937.png



Cesare borgia Shoga.jpg
 
Aha wapi jamaa wameliwa, mji umebaki ukiwa, wameshindwa kurusha rockets maana kurusha moja inadunguliwa, halafu inawaletea maafa mara mia zaidi....
9C89BB7B-81AC-42C2-AFC2-C684123FE186.png
 
Back
Top Bottom