Hivi lini mwisho HAMAS kurusha roketi kuelekea Israel? Jamaa wamezimwa kabisa

Hamas wananifurahisha sana kila siku IDF wanakota maiti kadhaa za wanajeshi wao wanachofanya Hamas wanawainda kama nguchiro😂
 
Hamas Wakirudia Tena Linadondoshwa Kama Heroshima na Nagasaki Ubishi Uishe Ndo Watakuwa na Adabu

Hawana ubavu wa kurudia tena, nadhani hawakutegemea Gaza itafanywa ilichofanywa.....
Uwezo wa kurusha rocket umeisha kabisa

 
Kila siku wanasema wanashinda, sasa hivi hata rockets zimeshindikana kurusha, wamejificha, akirusha moja majibu yanakuja ya kufa mtu.
Wanarusha rockets kutoka kwenye chemba za choo sasa hivi.
 
Wanarushia rockets kutoka kwenye chemba za choo sasa hivi.
Si muwasaidie mabwana zenu kuwaokoa mateka wao kwenye chemba za choo huoni kama wanapata shida sana.
 
Two state solution haiepukiki kwasasa, kwahiyo watapata nchi kamili
Hakuna kitu hicho, labda one state solution. Unaposema nchi 2 nana apewe Jerusalem? Huo ni mgogoro mwingine. Chuki za kidini zimewafikisha mbali sana hao waarabu na wayahudi
 
Hakuna kitu hicho, labda one state solution. Unaposema nchi 2 nana apewe Jerusalem? Huo ni mgogoro mwingine. Chuki za kidini zimewafikisha mbali sana hao waarabu na wayahudi
Wewe ndiyo unasema ipo siku watapata nchi yao hata wewe ukifa watoto wako watakuwepo wataona.
 
Hii ya Gaza Haijawahi Kutokea wabaki na Mateka ila Gaza Watakimbia Wote hakuna Mpalestina atasahau Kilicho tokea
 
Huko huko Kwa wanawake na Watoto ndo wanaozaa Magaidi Bora Wafe Wote Watachambuana Wenyewe Aheraa
 
Hakuna kitu hicho, labda one state solution. Unaposema nchi 2 nana apewe Jerusalem? Huo ni mgogoro mwingine. Chuki za kidini zimewafikisha mbali sana hao waarabu na wayahudi
Pale kuna kitu wanaita East Jerusalem hiyo ndio eneo ambalo Palestina wanataka wapewe
 
Hawana ubavu wa kurudia tena, nadhani hawakutegemea Gaza itafanywa ilichofanywa.....
Uwezo wa kurusha rocket umeisha kabisa

Mara ya mwisho tarehe 29/1/2024 sasa wewe ulitaka warushe kila siku , imepita wiki moja na siku mbili tu
 
Mara ya mwisho tarehe 29/1/2024 sasa wewe ulitaka warushe kila siku , imepita wiki moja na siku mbili tu

Aha wapi jamaa wameliwa, mji umebaki ukiwa, wameshindwa kurusha rockets maana kurusha moja inadunguliwa, halafu inawaletea maafa mara mia zaidi....
 


Kaiombe picha ya Shoga Cesaro Borgia ikupe baraka 😛 😛 😛 😛




 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…