yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Mie hakuna mtu minaye mchukia kama Edward ngoyai lowasa,huyu ni nembo ya uharifu nchini,matatizo yoote ya umeme yanatokana na yeye,vyama vyoote vikuu vya kisiasa ccm na chadema vilishawahi kuusema ufisadi wake hadharani.leo ninajiuliza,sijui hii heshima kaipata wapi huyu mwizi.mie ninafikiri huu niushirikiano wa mafisadi wenzie.