yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
inaitwa magufulu kamtokea sir100Yani unamuonea wivu mpaka marehemu? Hii inaitwaje kitaalam?
Mkuu hapa nimekuelewa vizuri sana,hope hata mleta mada atakuelewa hapa.
Hata kama alikuwa fisadi kitengo cha kujiuzuru kilitosha kufuta yote. Haijawahi kutokea waziri mkuu kujiuzuru hapa Afrika. Mungu amuweke pema peponi"Alikubali kupoteza kunusuru serekali, kubalance serekali,kujitwisha mzigo mzito wa watu wengine, hakuwa mjinga, hakuwa fisadi, alifanya hivyo kwa sababu kwa wakati huo, tatizo lilikuwa ni Uwaziri mkuu"
Point! tuwanapiga mpaka makaburi aisee, hivi kuna mtu ambae hajawahi kuiba kweli? Hata watoto wadogo kabisa utakutana nae jikoni mdomoni kuna sukari na usoni pia, oya! si umesikia huko? Paroko kajiongeza, dah noma sana man!Hata kama alikuwa fisadi kitengo cha kujiuzuru kilitosha kufuta yote. Haijawahi kutokea waziri mkuu kujiuzuru hapa Afrika. Mungu amuweke pema peponi
Hivi mahakama ni za kuendea tu kama unaenda kukojoa kichochoroni?Mbona mchizi aliweka wazi kabisa mwenye ushahidi ampeleke mahakamani vinginevyo mpige kimya. Tena aliongea kipindi yupo upinzani. Mkafyata team buku 7 wote.
Kwani hujamsikia makonda niambie hapa tanzania na wizi wote uliokithiri kuna hata kiongozi mmoja mkubwa aliwahi kufikishwa mahakamani ? Au kufungwa , jela zipo kwa ajili ya masikiniMbona mchizi aliweka wazi kabisa mwenye ushahidi ampeleke mahakamani vinginevyo mpige kimya. Tena aliongea kipindi yupo upinzani. Mkafyata team buku 7 wote.
Ufisadi wake ulithibitidhwa bungeniUfisadi upi huo ambao mmeshindwa kuuthibitisha mpaka kesho, mliunda mahakama ya nafisadi lakini hakuweza kuthibitisha huo ufisadi mlimpa Lowassa,
Acha wivu na husda mtoto wa kiume,
Haijawahi Waziri mkuu kujiuzulu Afrika kwa sababu hakuna Waziri mkuu Afrika aliyewahi kufanya ufisadi mkubwa na wazi kama aliofanya Lowasa. Mpaka leo tunateseka na madhara ya alivyofanyaHata kama alikuwa fisadi kitengo cha kujiuzuru kilitosha kufuta yote. Haijawahi kutokea waziri mkuu kujiuzuru hapa Afrika. Mungu amuweke pema peponi
Unamaanisha Lisu alimsingizia alipotuambia ana ushahidi juu ya uhusika wa Lowwassa Richmond?Mbona mchizi aliweka wazi kabisa mwenye ushahidi ampeleke mahakamani vinginevyo mpige kimya. Tena aliongea kipindi yupo upinzani. Mkafyata team buku 7 wote.