na huu pia ni ujinga mwingine , ushawai ona wap mmasai anashiriki uongo?"Alikubali kupoteza kunusuru serekali, kubalance serekali,kujitwisha mzigo mzito wa watu wengine, hakuwa mjinga, hakuwa fisadi, alifanya hivyo kwa sababu kwa wakati huo, tatizo lilikuwa ni Uwaziri mkuu"
umezaliwa mwaka gan ? hv zile mali mlizitaja kipind cha kampen zake alikuwa katoa wapi?Nilidhani utautaja ufisadi wake kumbe na wewe ni mbwabwajikaji tu!
unahisi upinzan alienda kwa kupenda ? wajinga nchi hii wakiisha ndo tutaanza songa mbele , atoke ccmu hlf arudi ccmu , asipinge matokeo ya 2015 bado umwaminiMbona mchizi aliweka wazi kabisa mwenye ushahidi ampeleke mahakamani vinginevyo mpige kimya. Tena aliongea kipindi yupo upinzani. Mkafyata team buku 7 wote.
This is the trutIntelegent lives well and comfortable in Tanzania, stupid blames until they die!
Wewe na Mjinga mwenzio mleta mada ccm imewaaminisha ya kwamba,kila mtu au mwanasiasa tajiri ni Fisadi,yaani mnaamini ya kwamba mtu yeyote katika nchi hii hapaswi kuwa tajiri!umezaliwa mwaka gan ? hv zile mali mlizitaja kipind cha kampen zake alikuwa katoa wapi?
Magu leo kesho nenda rudi mnamkanda tu hata kama perepere na mchwa washamtafunaHaijalishi akiitwa aliejiuzulu au aliestaafu, keshakufa na hatorudi tena.
Kutaka kuanzisha hoja kwa jambo kama hili ni matumizi mabaya ya fikra.
Hata sijui ulichoandika ila upo sahihi.Magu leo kesho nenda rudi mnamkanda tu hata kama perepere na mchwa washamtafuna
Kizazi kipi, cha Makonda?Ukweli huuma, hasa kwa wasiojielelewa, ifike hatua tuelewe kua lazima ote waliodumaza maendeleo ya nchi yetu pendwa waishe ili kije kizazi kingine chenye uwezo wa kuendana na speed ya dunia ya leo kije kiingoze taifa hili
"aliyekuwa"rais wa jmt.john pombe Magufuli.Kikatiba ya JMT, mtu huhesabika "Mstaafu" katika wadhifa au kazi aliyokuwa nayo mara tu anapokoma kua na wadhifa au kazi hio, haijalishi madaraka hayo yamemtokaje.
Mfano Hayati Dr J P Magufuli ni Rais Mstaafu, ambae madaraka yake yalimuondoka baada ya kufa.
Inaitwa Laana ya kikeYani unamuonea wivu mpaka marehemu? Hii inaitwaje kitaalam?
Tulikubaliana hii iwe awamu ya sita ili naye atawale miaka miwili kulingana na utaratibu wa chama.Yaani mtu kajiuzuru mwenyewe kutokana na Ufisadi wake ambao Umeigharimu nchi pakubwa (hasa kwa kuitia hasara) halafu leo kafariki tunasema/tunamuita ni Waziri Mkuu Mstaafu!
Lowassa alistaafu Uwaziri Mkuu wake kama wengine au alijiuzuru kutokana na Kashfa zake za Ufisadi alizojaribu kuzizima kwa Utajiri wake mkubwa na wa kutukuka?
GENTAMYCINE hiki kikombe cha Unafiki na Upuuzi (Ujuha) kilichopo kwa Watanzania wengi (hasa kwa huu msiba) wala sitokinywa kabisa kutokana na Dhambi zake kubwa za Ufisadi na Utajiri wake wa Mashaka ambao Ulimshtua na hata Kumuumiza Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.