Hivi maji ya Dodoma yana peroxide?

Hivi maji ya Dodoma yana peroxide?

Hivi Dodoma kwa sasa kuna maji ya kutosha? Nakumbuka nilishawahi kuoga maji kwenye beseni la kunawia mikono nilipomtemblea jamaa yangu aliyekuwa anaishi eneo la Makole mwaka 1977!
Shida ya maji ipo palepale.
Sasa hivi ni mwendo wa mgawo tu jiji zima! Na huu mgawo umeanza toka August!

Dodoma yakijinga sana tunaishi basi tu, ila huyu mleta uzi aliyesema ukiogea ngozi inaharibika si kweli atakuwa na ngozi mbaya au kavu.
 
Hiyo ni chemistry ya form ii,
Hard water and soft water
 
Hapo Ndiyo Dodoma Maji Yanatoka Mzakwe Kwenye Visima Vya Kuchimba. Kuanzia Nguo Kuoga Ni Changamoto

Ukiogea Ngozi Unazeeka Haraka Uliyosema Ni Kweli Tupu

Mkoa Ambao Una Ujanjaujanja Tu Wa Wanasiasa Una Shida Hizo
Yaani Asubuhi Mchana Jioni Sura Zimepauka, Maji Hayo

Nguo Ndiyo Usiseme!!!!!
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😁😂😀😅😄😄😐😐
nileteeeni gwajimaaaa
 
tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno

Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho inakuwa kama ina mba (ugonjwa wa ngozi).

Ngozi - mapele yanakutoka na siku nyingine ukiamka unaamka na vinundu baada ya siku chache vinakauka , pia swala la ngozi kubauka ni swafi sana na kawaida sana.

Utafiti mdogo japo hata mimi sijaweza kupata data kamili,dodoma ina asilimia fulani ya madini ya uranium ambayo yapo mbali na hatuitaji kuchokoza na baazi ya visababishi vya uraniumi moja upofu na hili la ukoma asilimia kubwa ni dodoma labda kitaalamu tuchunguze kuna nini pale kwa nini idadi ya watu wanao pata haya utokea kule japo kutakuwa na sababu zengine
Nilikuwa na wazo la kutafuta eneo la kuweka hekalu la maana huko makao makuu, sasa itabidi nifanye tafakuri ya kina
 
Utafiti mdogo japo hata mimi sijaweza kupata data kamili,dodoma ina asilimia fulani ya madini ya uranium ambayo yapo mbali na hatuitaji kuchokoza na baazi ya visababishi vya uraniumi moja upofu na hili la ukoma asilimia kubwa ni dodoma labda kitaalamu tuchunguze kuna nini pale kwa nini idadi ya watu wanao pata haya utokea kule japo kutakuwa na sababu zengine
Na kwa taarifa yake, kama ndio kahamia, baada ya miaka mitatu hadi minne ataanza kuvaa miwani!

Jua la Dodoma linaozesha macho!😃😃😃 ...hutaki unaacha!
 
Na kwa taarifa yake, kama ndio kahamia, baada ya miaka mitatu hadi minne ataanza kuvaa miwani!

Jua la Dodoma linaozesha macho![emoji2][emoji2][emoji2] ...hutaki unaacha!

Kama jua hata wale wa jangwa la sahara na dubai wangekuwa vipofu wengi kwa nini hapo dodoma pako hivo
 
Shida ya maji ipo palepale.
Sasa hivi ni mwendo wa mgawo tu jiji zima! Na huu mgawo umeanza toka August!

Dodoma yakijinga sana tunaishi basi tu, ila huyu mleta uzi aliyesema ukiogea ngozi inaharibika si kweli atakuwa na ngozi mbaya au kavu.
Kweli sio maji yanayo haribu ngozi,ni hali ya hewa ya Dodoma jua ni kali mno hadi ngozi ya utosi inababuka.
 
Kweli sio maji yanayo haribu ngozi,ni hali ya hewa ya Dodoma jua ni kali mno hadi ngozi ya utosi inababuka.

Si sababu kama wanao ishi jangwa la sahara na huko nchi za kiharabu mbona wapo vzuri pale kuna nini
 
Za muda huu wakuu wa mambo

Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno

Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho inakuwa kama ina mba (ugonjwa wa ngozi).

Ngozi - mapele yanakutoka na siku nyingine ukiamka unaamka na vinundu baada ya siku chache vinakauka , pia swala la ngozi kubauka ni swafi sana na kawaida sana.

Sijui kwa wengine ila kwangu imekuwa hivo.

NB. Peroxide ni breaching agent, kwa wale wa penzi wa series turudi nyuma kidogo enzi hizo season one prison break pale Michael Scofield anapo jipeleka fox river kumtoa kaka yake Lincoln sasa katika strategy zake itatokea njia ya kutolokea walibadilisha pipe system kwahyo ilibidi wapitie kwenye psych ward(wodi ya vichaa) na magandwa yao yalikuwa meupe na kina scofield walikuwa wanavaa nguo za blue ndio hapo idea inakuja atatumwa flanklin (c-note) kwenda kuiba peroxide ili wazi breach zili nguo zao za blue ziwe nyeupe.

Nimalize kwa shukrani.

 
Back
Top Bottom