Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?

Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.

Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

View attachment 2038131
View attachment 2038132
View attachment 2038133

Mkuu la msingi upo hapa Jf unaandika uzi huna pressure. Kuna Wanaume wako kazini 7/24/365. endelea kuinjoy Life. TZ huru.
 
Mkuu hayo mafurushi mengi ni ya nini wataweza kweli kwenda nayo vitani au ni maalum kuonesha wanaweza kubeba mizigo mizito?
Huyo aliebeba furushi kuubwa ni commando majini, kabeba mpaka boti humo akilifungua linajaa tu upepo yupo full equiped.

Alievaa maroon , ni commando nyika hana vitu vingi.
 
Kinachofanya uimara waa hawa jamaa ni experience na battle field

Wenzetu US..taliban..russia..etc
Wako kwenye battle maisha yao yote wanapata uzoefu wa hali ya juu huko

Sis huku practicles hatuna..so huwe fananisha hao watu wawil hata siku..anaefanya kwa uhalisia kabisa lazima awe nondo...

Ila mtu huyo huyo ukimchkua ukimpeleka kwenye mazoez ya mafunzo na hao wenzetu wa huko ngambo.atawatoa nishai asubuh kweupe..hao wabongo ni nuksi kwel

Kuna m1 ni mshikaj wa mshikaj wangu...ukimuona hiv .ni ostaz flan...anakunywa sana pombe ila...

Kuna siku nikapewa stori yake sikuamini...jamaa anashinda sana kongo..darfur huko..huku akija anakuja pumzika tu...hana mke hana watoto ma.mae....hana mwil mkubwa..ila ni komando wa jwtz....hyo stor hata nikikupa hapa utasema ni stor za vijiwen
 
Kinachofanya uimara waa hawa jamaa ni experience na battle field

Wenzetu US..taliban..russia..etc
Wako kwenye battle maisha yao yote wanapata uzoefu wa hali ya juu huko

Sis huku practicles hatuna..so huwe fananisha hao watu wawil hata siku..anaefanya kwa uhalisia kabisa lazima awe nondo...

Ila mtu huyo huyo ukimchkua ukimpeleka kwenye mazoez ya mafunzo na hao wenzetu wa huko ngambo.atawatoa nishai asubuh kweupe..hao wabongo ni nuksi kwel

Kuna m1 ni mshikaj wa mshikaj wangu...ukimuona hiv .ni ostaz flan...anakunywa sana pombe ila...

Kuna siku nikapewa stori yake sikuamini...jamaa anashinda sana kongo..darfur huko..huku akija anakuja pumzika tu...hana mke hana watoto ma.mae....hana mwil mkubwa..ila ni komando wa jwtz....hyo stor hata nikikupa hapa utasema ni stor za vijiwen
Isije ikawa unanizungumzia mimi!
 
IMG_4827.jpg

IMG_4826.jpg

IMG_4831.jpg

IMG_4829.jpg

IMG_4828.jpg

IMG_4834.jpg

IMG_4835.jpg

IMG_4833.jpg

IMG_4832.jpg
 
Kwa kuzingatia ukanda tuliopo, utamaduni wetu, elimu zetu, na teknolojia yetu wapo vizuri..lakini tukiwalinganisha na wenzetu tuko nyuma sana..kuna jamaa yangu ni classmate wangu tuliemaliza nae kidato cha nne...ingawa huonekana kuwa ni siri lakini alijitahidi kunipa vielelezo vya kutosha kuwa yeye ni komando..sikumbishia kwakuwa alinionesha na missions ambazo ameshiriki pamona ya units zake...lakini kwa ujumla hawana viwango vya kushangaza.....
Hata hivo sina uhakika kunakipindi wakati dk.rose migilo yupo UN ilivuma kuwa alikuwa akiwapa promo hawa ndugu zetu wa jwtz ili wapelekwe lebanon kwenye mission za UN Kikwetu hayo tunayaita mapande kwani $$$ wanazolipwa si haba..lakini ilivuma kuwa kule lebanon ndugu zetu walikuwa wana pukutika kizembe mzee jk w pili akamkataza yule mama asiwaombee nafasi vijana kupelekwa kule...

Sasa kama ni kweli najiuliza inamaana wale jamaa wa mashariki ya kati wako vizuri sana au vijana wetu wamezoea kombolela ya vichakani na kwa bahati mbaya wakakuta kule ni kujificha nyuma ya ukuta au kwenye mawe ya jangwani...?
 
Hili la komandoo wa kibaha kumuua huyo polis kwa ngumi moja ni kweli na huyo polis alikuwa mtata haijawahi tokea
Noma sana, alikua mtata wa vurugu tu, au pia ngumi alikua anaziweza vyema?
 
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?

Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.

Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

View attachment 2038131
View attachment 2038132
View attachment 2038133
Shemeji yako ameshapika uji nenda ukanywe, ukojoe ulale.... maana movie za kizungu zimeshakubrainwash akili zako...

Hivi hujiulizi tu vita vilivyopiganwa enzi za uhuru watu wanakuja na bundiki na mababu zetu wanapigana na mikuki na mishale na wakachezea kichapo... soma historia... vita ni mbinu. Whether uko simple or complicated, well trained or little trained....
 
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?

Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.

Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

View attachment 2038131
View attachment 2038132
View attachment 2038133

Kwakuwa tu umeshiba na simu yako ina bundle
Watu hawalali ili kuhakikisha wewe unalala salama na demu wako ndio maana una amani ya kuandika huu utoto hapa.
 
Kiboko yao ni mapolisi tu huko kwingine unapotaka kuwalinganisha ni mbali sana.
Angalia akili za ma PC wa police kazi kupasi nguo na starch ndicho unajua tatizo movie mnazo angalia komando Hawa wamefanya mengi nchi hii Hamza tu aliwatoa jasho
 
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?

Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.

Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

View attachment 2038131
View attachment 2038132
View attachment 2038133
Sasa hivi vita haipiganwi kwa mtutu. Kuna biological war na psychological. Toka huko kwenye mifumo ya zamani haitakusaidia
 
kwa nini unadhalau wanajeshi wa Taifa lako mbona North korea wanalo jeshi linalovunja tofauti, kukunja Nondo na Vitu vingi hufanya ambavyo vikifanywa na jeshi letu mtu anaanza kudhalau.

Unaanza kusifia Seal Team Six unajuwa bajeti yao ni shilling ngapi?
Vita ya mtutu imepitwa na wakati
 
Huyu aliyeleta mada ana tatizo la akili.

Competent ya wanajeshi inapimwa kwa kuwa simple tu?

Halafu unazungumzia eneo la "battle".

Sasa hapo uwanjani kulikuwa na battle?

Anyway...nenda kawajaribu uone umahiri wao!
Attack content not person
 
Katika kamandi watu wa aina zote wanahitajika. Wee unafikiri ukiwa slim na mlaini kama miss utaingia kwenye US Army?? Au jeshi la Russia?
Mbona huko kuna akina dada wengi sana?

Wenzetu washahama kwenye matumizi ya nguvu kubwa.
 
Mkuu ukiwa unauliza maswali ya comparison inabidi utumia akili kidogo.
Angalia kwanza picha ulizoweka. Hio ya seal team walikua either kwenye mazoezi au vitani na hio ya JW walikua kwenye maonesho.

Pili kuangalia ubora wa majeshi kuna vitu vingi vya kuangalia. 1. Budget 2. Experience.
Seal team wana budget kubwa hivyo hata training yao inakua nzuri zaidi pia wao wanakua equipped na the best and latest hardware available sababu ya budget nzuri. Ndio maana hata mizigo yao inaweza kuwa midogo.

Kuhusu experience hao seal team wanapata real battle experience sababu nchi yao constantly iko vitani. Sisi tofauti na misheni na UN hatujawahi kuwa na vita tangu 78..

Kingine kwa akili ya kuvukia barabara tu huwezi fananisha jeshi la US na TZ
Hata South Africa huwezi fananisha na Tz.

Ni aibu kucompare vitu vya Tz na nchi za nje kama za Ulaya.
 
Wapi nimesema kuwa slim na mlaini kama miss?!!ni afrika pekee ndio bado wanaamini kuwa ili uwe mwanajeshi shupavu lazima uwe na mwili nyumba!!angalia ulinzi wa marais wa afrika na huko kwa wenye akili, mlinzi anakuwa kama lisanamu
Nje ya nchi wanajeshi wanawake ni wengi tu, sasa unaweza ukategemea mwanamke kwenye matumiz ya nguvu. Umemweleza ukweli kuwa wenzetu wameshahama huko kwenye matumiz ya nguvu.
 
Back
Top Bottom