Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

Commando wanapigwa makonzi na polisi wenye elimu za darasa la saba hadi wanaomba msamaha uwalinganishe na makomandoo wa nchi za wenzetu kweli? Kwa ufupi nchi hii haina makomandoo bali tuna wasanii waliojificha kwenye kivuli cha makomandoo
Kweli CDM ni chama cha kigaidi.
Kimeharibu sana vijana
 
SEAL sio commandos wale ni special elite force tu ila wanafunzwa na makomando So you can imagine if SEAL wapo ile Je hao commandos wao wapoje ... m,arekani wana elite force zaidi ya SEAL
eti SEAL sio nini?!....jf imejaa vilaza sana siku hizi.
 
eti SEAL sio nini?!....jf imejaa vilaza sana siku hizi.
Commando ni special training wanayopewa maaskari, SEAL team na vitengo vingine sio training ni vitengo vya kufanyia kazi tu. Hata commando training nako kuna vitu vingi pia kulingana na utakako enda kufanyia kazi but the basic training is the same.
 
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika,na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa jwtz wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni.nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita? Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field,nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana,kwanza wako simple tu.
Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

View attachment 2038131

View attachment 2038132

View attachment 2038133
Commando wa jwtz wapo na mafunzo ya hali ya juu na hua wanafanya mazoezi ya pamoja na navy seal na hata hivi karibuni walifanya

Kubeba mizigo mizito ni Mojawapo ya mazoezi .

Na isitoshe hawawezi kuonyesha kila kitu mbele ya halaiki Wengine wanaweza kuwa maadui .
 
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?

Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.

Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

View attachment 2038131
View attachment 2038132
View attachment 2038133
ukitaka kuwajuwa wajaribu uone hao siyo kina adamoo
 
Hawa si walikua wanalia juzi tu wanekamatwa na polisi ?

Vuta picha labda wangekamatwa na wajeda wa russia ingekuaje
Mpaka leo sielewi itakuaje komandoo kuchapwa makofi na raia mkakamavu kingai, na ikaisha hivihivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Nikama zile mbwembwe na sifaaa alizo kua akimwagiwa 'jasusi mbobevu membe'.aliyekubali kuchezeshwa shere na jiwe aka mzilankendee[emoji1787][emoji1787]
 
labda uko sahihi ila kuna polisi mmoja Temeke alimshika mke wa komandoo makalio polisi alipigwa teke moja tu kafa. ..Kibaha kuna polisi mmoja bar alimletea komandoo dharau ngumi moja tu kafa. ...ukamataji wa komandoo lazima uende na troop ya kutosha Jumanne na Kingai siyo mafala mkuu waende wenyewe
Mkuu acha masihara yani teke moja la tako akafa au alipigwa makende😂
 
Afande Goodluck Minja kawapigisha push-up tu akina Ling'wenya pale Central wanalialia kuteswa!😁.

Je wangepitia doso kwa wale jamaa wa Guantanamo Bay?
Hao makomandoo waliokamatwa na jeshi ni kwamba hawakutaka kuonesha skills zao ama?😂
 
Naipenda nchi yangu lakini hili kwa kweli ni aibu sana.

Kuna mada nilishwahi kueleza kuhusu teknolojia kubwa na sayansi mara nyingi zinaanzia jeshini kisha kuja kwa wananchi baadae kama itakuwa sio ya kivita.

Serikali isipokuwa makini kuweka bajeti kubwa ya jeshi katika elimu inayojikita kwenye teknolojia na sayansi.
leo ndio matokeo yake
View attachment 2038921
View attachment 2038922
Muuni kakamata “UZZI”
 
Nalipenda jeshi letu, wapo macho wanatulinda 24hrs. Wameonesha umahiri maeneo mengi ya vita. Wao pia ni binadamu, huumia, tuwapende na tuwape moyo. Wapo wengi wamepoteza maisha katika kutulinda na kuilinda nchi yetu kwa niaba yetu. Tutasema tunawalipa, lkn ukweli ni kuwa wanacholipwa ni kidogo ukilinganisha na risk level waliyonayo
 
Commando wa jwtz wapo na mafunzo ya hali ya juu na hua wanafanya mazoezi ya pamoja na navy seal na hata hivi karibuni walifanya

Kubeba mizigo mizito ni Mojawapo ya mazoezi .

Na isitoshe hawawezi kuonyesha kila kitu mbele ya halaiki Wengine wanaweza kuwa maadui .
Watu wajinga humu

Hata yale mavifaa sidhani kama ndio wataenda nayo battlefield

Watskuwa wana zana za kisasa zaidi zimefichwa

Sio rahisi uoneshe zana zako zote tena mbele ya marais wa nchi jirani
 
SEAL ni kokosi maalum
wanaofanya mafunzo ya kupigana kutokea baharin SEA angani AIR na àrdhini LAND (SEAL) ndio maana wanaitwa hawa jamaa wana kuwaga na mission maalum vitan mfano kuokoa mateka, kumtungua /kumkamata mtu wanae mlenga ,msaka hawa jamaa sio marine troops.
Hata Tz tunao elite forces lkn sio commandos
Still ni commandos
 
Jeshi la marekani lina branch 4 army, marine( aka tough boys), navy na air force

Kila branch ina special forces zake chini ya U.S special operation command

Kwa navy wana special force 1 tu ambayo ni SEAL mean kuwa ni vijana wa navy wanaoweza fanya operation kwa kila sehemu ( wanaitwa frogmen)

Ukienda marines unakutana na marine raiders
Ukienda army unakutana na wanaume wa green baret na vtu kma hvyo

Unaposma SEAL sio commando nakushngaaa
 
Back
Top Bottom