chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Naipenda nchi yangu lakini hili kwa kweli ni aibu sana.
Kuna mada nilishwahi kueleza kuhusu teknolojia kubwa na sayansi mara nyingi zinaanzia jeshini kisha kuja kwa wananchi baadae kama itakuwa sio ya kivita.
Serikali isipokuwa makini kuweka bajeti kubwa ya jeshi katika elimu inayojikita kwenye teknolojia na sayansi.
leo ndio matokeo yake
Kuna mada nilishwahi kueleza kuhusu teknolojia kubwa na sayansi mara nyingi zinaanzia jeshini kisha kuja kwa wananchi baadae kama itakuwa sio ya kivita.
Serikali isipokuwa makini kuweka bajeti kubwa ya jeshi katika elimu inayojikita kwenye teknolojia na sayansi.
leo ndio matokeo yake