Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

Hapo kwenye nyekundu nimekuelewa sana...
Je, utakubaliana nami kuwa ccm na serikali yake si wazalendo??
99.5% ya sifa umeainisha hapo zinawahusu...!!
 
Hapo kwenye nyekundu nimekuelewa sana...
Je, utakubaliana nami kuwa ccm na serikali yake si wazalendo??
99.5% ya sifa umeainisha hapo zinawahusu...!!
Ingekua vyema kurejelea kauli ya mtoa mada ili kuepusha mifarakano humu, kwa Imani ya Jeshi letu hatuna chama zaidi kwamba aliyeko madarakani ndio anaotoa Amri kama Afande mkuu
 
Nashangazwa sana na ubora wa polisi dhidi ya makomandoo wa JWTZ...
Hata ripoti nyingi zinaonesha wakienda foreign missions bado hawana ujuzi wa medani!!
So kifupi wana uwezo mdogo... kama wanabisha waombe friendly war...
Sorry umesema polisi against JWTZ? Lol hawa watu wameshawah kutana wapi kwenye uwanja wa vita? Honestly? Unapima uwezo wa jwtx kwa tukio jepesi kama hilo? You are not serious man
 
Sorry umesema polisi against JWTZ? Lol hawa watu wameshawah kutana wapi kwenye uwanja wa vita? Honestly? Unapima uwezo wa jwtx kwa tukio jepesi kama hilo? You are not serious man
Mbona hata missions wakipelekwa matokeo ni hayo hayo unayoyakataa??
Au wewe unawapimaje pimaje mwenzetu??
Kwa maoenesho yale ya leo ama??
 
Mbona hata missions wakipelekwa matokeo ni hayo hayo unayoyakataa??
Au wewe unawapimaje pimaje mwenzetu??
Kwa maoenesho yale ya leo ama??
Mission zipi wameenda matokeo yakawa hayo? Mission zipi wameenda wakashindwa police wakaweza?
Embu tupia evidence hapa?

Nikuulize swali hilo hilo pia. Unapimaje ubora wa kikosi cha jeshi?
 
Sisi hamna kitu. We mwenyewe shahidi.Leta madini mjuaji.

Umesahau kumuangalia na Rambo, comando kipensi na shozniga alivyopambana na jini, huwezi wafananisha na hawa wetu.

Kudadadeki kuna yule noritiriti no surenda na chucknoris hujawaona....

Sisi bado sana. Tupo nyuma sio kama kina maiko dudikofuu.
 
Mission zipi wameenda matokeo yakawa hayo? Mission zipi wameenda wakashindwa police wakaweza?
Embu tupia evidence hapa?

Nikuulize swali hilo hilo pia. Unapimaje ubora wa kikosi cha jeshi?
Mimi nimebase hoja yangu kwenye facts... ushahidi mahakamani... polisi vs makomandoo
Wewe nawe ungeleta facts zako...
 
Sasa kama kikosi chako watu wanne wamejeruiwa utawabebaje huo mzigo ni mfano wa watu kuwabeba na logistic ukumbuke africa ni mapori mizigo mingi inabebwa mgongoni
 
Mimi nimebase hoja yangu kwenye facts... ushahidi mahakamani... polisi vs makomandoo
Wewe nawe ungeleta facts zako...
Ushahidi na facts mahakamani? Lol [emoji38][emoji38][emoji38]
I thought una ushahid wa battle ground, missions, ct actions, rescue ops.. unakuja kufanya comparison kwa kesi nyepesi kama hiyo? Come on man..

Thats not how unapima uwezo wa jesh kwa facts za mahakamani. Halaf mahakama yenyewe ya kiraia. Tena watuhumiwa ni ex members of.. not active members..

Majeshi hayapimwi ubora kihivyo.. tafuta njia nyingine
 
Mtoa mada I'm sorry to say lkn ww ni mtu unayeweza kuwazarau hata wazazi wako na kuwatamani wa jirani au wazungu,just in your own profession jilinganishe na wa US be you a politician,lawyer,banker etc. We in UN,Africa,EAC are very proud of TPDF,never failed,since Liberation wars,Comoros,Mozambique, Kagera,M23,even internally, The Americans are very proud of their country n their army n and they don't cares even knowing that you exists
 
Shida yako muwe mnavunjwa viuno uko mtaani ndio ujue jeshi liko vizuri,senge kweli.
 
We mwenyew battle na boda boda mtaani kwako anachoifanyia familia yako umeshindwa kukijuwa
 
Mbwembwe ukiwavua izo sare mahita anawageuza mboga
 
Nashangazwa sana na ubora wa polisi dhidi ya makomandoo wa JWTZ...
Hata ripoti nyingi zinaonesha wakienda foreign missions bado hawana ujuzi wa medani!!
So kifupi wana uwezo mdogo... kama wanabisha waombe friendly war...
Friendly war!!! Mkuu ukiniambia mimi wa hovyo nikakubali naomba kwa nukta hii nikuambie wewe ni wahovyo zaidii 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…