Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,012
Kama unajua JW walienda Congo ila hujui ni operation gani? Basi sina cha kubishana nawewe mkuuOperesheni gani unayoimaanisha hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unajua JW walienda Congo ila hujui ni operation gani? Basi sina cha kubishana nawewe mkuuOperesheni gani unayoimaanisha hapa?
Wachina wenyeweNa trainer mkuu wa jeshi la China ni nani ??
Malaika au mizimu
Kumbe unabishana?Kama unajua JW walienda Congo ila hujui ni operation gani? Basi sina cha kubishana nawewe mkuu
94 KJ ndio kikosi gani mkuu?Majibu mazuri utayapata ukifika Ngerengere Morogoro kikosi 94 KJ.
Wao wachina wanatoa wapi skills ambapo sisi hatuwezi kuzipata ?Wachina wenyewe
Sawa! Nisaidie lifanye liwe gumu.Umejibu kirahis rahisi sana.
Unakatwa na majini wewe. Unapaswa kujua kwamba makomando ni watu watiifu sana or else usitamani kujua. Dharau za ovyo kabisa hiziCommando wanapigwa makonzi na polisi wenye elimu za darasa la saba hadi wanaomba msamaha uwalinganishe na makomandoo wa nchi za wenzetu kweli? Kwa ufupi nchi hii haina makomandoo bali tuna wasanii waliojificha kwenye kivuli cha makomandoo
Nchi ya 2 kwa ukubwa wa jeshi, technology na vifaa duniani, waasisi wa martial arts, na moja ya nchi kongwe kabisa duniani kwenye Vita vya ardhini unajifananisha nayo? Utakuwa na matatizoWao wachina wanatoa wapi skills ambapo sisi hatuwezi kuzipata ?
Hatapitapi ni wanufaika wa hyo mugogoro usiwe mvivu kutumia akiliWaende wakamlize vita Ukanda wa Gaza ama Syria. Kule hata Marekani na Urusi wenye nguvu kubwa za kijeshi wanatapatapa tena kwa wanamgambo tu wa Hizbollah ama Al nusra front *****.
Mara walikufa na M23 walimalizwa na UN unaamini lip sasaUnajua walikufa askari wangapi? Au uliziammini propaganda za ccm tu? M23 hawakumalizwa na jw bali palikuwa na vikosi UN.
Kingai,Mahita unawafahamu?Unakatwa na majini wewe. Unapaswa kujua kwamba makomando ni watu watiifu sana or else usitamani kujua. Dharau za ovyo kabisa hizi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Lilikua chini ya majeshi ya UN nchi zikiwa Tanzania,S/Africa(Hawa walikua wanatoa air support) na Malawi.M23 walisepa wakaenda Uganda na wengine Rwanda.Na wiki chache zilizopita hao M23 waliingia Congo wakakinukisha kidogo then wakasepa zao.Mara walikufa na M23 walimalizwa na UN unaamini lip sasa
Commando wanapigwa makonzi na polisi wenye elimu za darasa la saba hadi wanaomba msamaha uwalinganishe na makomandoo wa nchi za wenzetu kweli? Kwa ufupi nchi hii haina makomandoo bali tuna wasanii waliojificha kwenye kivuli cha makomandoo
You dont get my point, do you ?Nchi ya 2 kwa ukubwa wa jeshi, technology na vifaa duniani, waasisi wa martial arts, na moja ya nchi kongwe kabisa duniani kwenye Vita vya ardhini unajifananisha nayo? Utakuwa na matatizo
Shemeji yetu yupo huko ?Unakatwa na majini wewe. Unapaswa kujua kwamba makomando ni watu watiifu sana or else usitamani kujua. Dharau za ovyo kabisa hizi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sio atakuwa na tatizo, atakuwa na uwenda wazimu.Nchi ya 2 kwa ukubwa wa jeshi, technology na vifaa duniani, waasisi wa martial arts, na moja ya nchi kongwe kabisa duniani kwenye Vita vya ardhini unajifananisha nayo? Utakuwa na matatizo
Hawawez kukuelewa mkuu.Hatapitapi ni wanufaika wa hyo mugogoro usiwe mvivu kutumia akili