Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Mungu anajua, unaweza kumuhukumu kua mtenda dhambi halafu siku hiyo unaishia motoni mwenzenu anakua mbinguni ndio mtashangaa
Wabongo wanampangia kazi sana Mungu,hawajui Mungu ni wa huruma na anasamehe siku zote halafu by the fucking way wanaomsema Makonda kama ni Muovu wao ni Malaika?MIERDA!
 
Lord Rajpar tajiri wa meli alikuwa na meli kibao ( nyie chawa hamkuzaliwa bado hamwezi kumjua) peke yake ndio hata Nyerere alipata kigugumizi kumbana, na alikuwa na elimu ya kutosha sio bashite elimu Fffff zote mara eti ana dry cleaner kali mara Range Rover kali na upuuzi mwingine.
 
Ujui chochote kuhusu life after death, angesameheka na Mungu mahakama isingemtafuta
Unaleta mambo ya life after death as if kila mtu anaamini hivyo!wewe Mungu kakusamehe ndio maana mahakama haikutafuti!!MIERDA
 
Mtu ambaye ni Tiss anaishi vipi kama Digi digi?
TISS ya ukweri hainaga watu wenye ubongo mdogo kama hao aisee, kwasababu wanajua ukiwa tiss ukawa mjingamjinga utachinjwa mtaani au kutoa siri anytime. hao wengi wanajifanya tiss utakuta ni nyoka tu wa kafara hata wakidhuriwa hawana madhara kwa tiss na tiss wanawaruka hatua mianane.
 
Watu wapumbavu sana jamani!

Wanataka makonda aishi kama zamani wakati hana cheo chochote cha kumfanya avume!
.
Wakiona yuko kimya hivi wanasema anaishi kama digidigi[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio maana Lisu kaamua kukimbilia kwa amsterdma maana kwa akili hizi za machadema hawezi kuishi nao kwa aman
 
Halafu Sisi Keyboard warriors Soldiers bado tunadunda na kutanua mbavu mjini haha ...life is changeeee!!!!
 
Athari za kutumia kichwa kufugia makamasi ndio hizi...

Wewe kwa uwezo wako ulionao hupaswi kukatisha barabara ukiwa pekeyako lazma upate usaidizi tu.....
 
Katika nyanja za kiujasusi Hilo Lina wezekana Sana
 
Ha ha ha!!!!
 
Ha ha ha!!! Usitukane mkunga uzazi ungalipo!!!! Nyerere alishasema kuwa "cheo ni dhamana sitatumia cheo changu kwa manufaa yangu mwenyewe!!" Hii vijana wa zamani tulikaririshwa maana ilikuwa lazima uwe mwanachama wa TANU na huendi chuo chochote na hupati kazi kama siyo mwanachama wa TANU. Chama kilishika hatamu kweli kweli enzi hizo. Sasa hizi ndiyo anaelewa kuwa cheo ni dhamana apewayo mtu kwa kipindi fulani tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…