Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Now a FUGITIVE!!! Msitegemee IGP Sirro na watu wake kumkamata Bashite kwasababu Sirro kupata hicho Cheo ilitokana na recommendation ya Bashite kwa marehemu Jiwe!!!
Are you sure with your words? Au ni hisia za infinix?
 
Oyaaaa! Sisi tunajua makonda anatanga tanga hana lolote sasa hivi mtetezi wake alikuwa Mkulu na amekufa na ameikimbia mahakama anaogopa jela.

Utaniambia nini mimi mtu wa Kibaigwa 😝 WE ONLY KNOW WHAT THEY ALLOW US TO KNOW 🤗
Hahahahah hela ndio kila kitu mzee af serikali haina interest nae! Huyo kubenea ni kihere here chake tu!
 
Kwa hiyo wewe kama ulikuwa mchepuko wake uukafaidi ukanunuliwa na IST na huenda bado unakula bata na baba Keagan endelea lakini haya unayoyaona humu ndani ni mawazo ya watu ambao wamo waliokuzidi kimo, uchumi, elimu, maarifa etc na hii yoote ni reflection ya maisha ya makonda akiwa madarakani.[emoji23]
 
Sawa Mrs Bashite. Umeeleweka
 
Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi
Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Kwani waliofungua kesi ni Chadema,, si ni yule wa Act,, yaani kila kitu Chadema duuuu
 
Kwani waliofungua kesi ni Chadema,, si ni yule wa Act,, yaani kila kitu Chadema duuuu
Ndani ya JF kuna great thinkers na great sinkers! Replies kwenye mijadala humtambulisha mtu kama ni GT au ni GS..!
 
Inavyosomeka huku kitaa, jamaa analindwa na ruling regime. Mtu ambaye makosa yake yalithibitila hata kwa 'external observers' asingepaswa kuishi uraiani hata masaa kadhaa.
Tatizo letu ni kuwaamini watu wa nje kama Biblia au Quran. Utaona watu wanashangilia saana mahkama ya Hague ambayo Marekani inasema hakuna Mmarekani kupelekwa huko KUshitakiwa. Kama wao wanafanya makosa makubwa kama yetu au zaidi kwa nini ni sisi tu tushitakiwe the Hague lakini wao wakiuwa kwao au kwetu hatuwezi kumpeleka huko hata askari wa cheo cha chini kabisa. Kukatazwa kwenda Mmarekani si tija. Unaweza ukaenda Ulaya, Hong Kong, China, Korea, Taiwan, Singapore, India na kupata yote au zaidi ya yaliyo USA. Mfuko wako tu ndiyo unatakiwa. Matibabu ukitaka unaweza kwenda Singapore au India ambapo maelfu ya Wamarekani hutibiwa kwa kukwepa gharama kubwa za matibabu USA. Hospitali kubwa duniani huwa zinakuwa "accredited na board ya Hospitali za USA (equivalence) na zinaaminika kama zile za USA lakini gharama ni kati ya 20%-30% ya gharama za matibabu za USA.
 
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…