Mambo ya uongozi yanapaswa kuangalia kwa macho kadhaa!. Tunaweza kujadili hapa kuwa kawa digidigi kumbe sisi ndo tumefanywa vipofu!.. ukute mtu anakula bata mahali na anautafuna si kifani halafu huku wanakuja kutufanyia maigizo ya mtafutwa aliefichwa makusudi!.
Yani huyu jamaa kwel ini countrywide kwa kweri sio muda mrefu ametoka kumpamba nikiwa wa 11.Mfikishie wito anatakiwa mahakamani
Hata hawa walioko madarakani sasa wajifunze kuwa anayewabeba sahizi ataondoka kwenye nafasi yake nao watakuwa kama Bashite.Hata hapa kwenye huu uzi wapo nimewaona wengi tuu.. Wanalipa fadhila japo kwa mbali na kwa kujificha nyuma ya ID feki na wengine ni ma home boy!
Hata hawa walioko madarakani sasa wajifunze kuwa anayewabeba sahizi ataondoka kwenye nafasi yake nao watakuwa kama Bashite.
Dunia ya Mungu hii tujifunze kukanyaga hii ardhi kwa adabu.
Huwa nikisoma hadithi ya Mfalme Suleiman huwa naelewa ni kwa nini aliamua kuomba hekima kabla ya kitu kingine chochote. Alijua kuwa madaraka huwa yanalevya
Amekuwa "fugitive" (sijui kiswahili chake).Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Hawa jamaa pamoja na Ally Hapi wameharibia sana vijana wenzao kwa kweli. Yaani hawa kama sampuli ya vijana waliopata madaraka, wameonesha kwamba vijana wakipewa madaraka/ uongozi wanakuwa hopeless.
Bashite ni ndezi.Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Mwingine yuko A town, wewe unasema O'bay, nani yuko sahihi? Kwa kutangazwa tu anatafutwa na mamlaka rasmi ya mahakama inatosha kumdhalilisha.Hehe hili ni shauri la kiraia na sio la serikali. Halina mashiko yoyote aliepeleka amefanya kwa nia za kisiasa ila kila siku asikike katika habari anamuomba Makonda aende mahakamani.
Makonda anapiga mazoezi kila siku uwanja wa Oysterbay.
Umenikumbusha mbali miaka ile jamaa anatafutwa nchi mzima hapatikani. Kumbe jamaa wanachukua mbesai wanamwachia. Lakini mbesai ilipokwisha wakamkamata harakaharaka na kumsweka lupango. Ila alivyokuwa smart alijitetea mwenyewe na kushinda ile kesi!Ukute huo uhuru mwenzetu ndo anazidi kudidimiza umaskini kwa miburungutu myekundu!.
Me siyajui sana haya Mambo!
Na 'refugee' kiswahili ni nani? Labda ndo 'uswila'[emoji125][emoji125]Mkimbizi
Tatizo ni katiba mbovu inayoweza kutupatia rais mbovu na akateua viongozi wabovu sababu hakuna vigezoWaliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Mlezi wa wasafi😁Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Kuna ukimbizi wa kukimbia ukiwa unatafutwa fugitiveNa 'refugee' kiswahili ni nani? Labda ndo 'uswila'[emoji125][emoji125]
Na 'utoro' je?Kuna ukimbizi wa kukimbia ukiwa unatafutwa fugitive
Kuna ukimbizi wa kivita kujiokoa refuge..kutafuta hifadhi
Daah kumbe siyo kushuka Bali kudondoka?😂😂nimejifunza kitu kipyaUKIPANDA JUU KIFUATACHO NI KUDONDOKA
umeninukuu vibaya, ukidondoka ndio kushuka kwenyewe huko, utabiringika, utaserereka na kumiminikaDaah kumbe siyo kushuka Bali kudondoka?😂😂nimejifunza kitu kipya
Kaka Mshana naomba unisaidie contact zako mkuu,nicheck kupitia 0754991764Kawa mchafu