Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaleyale ya yuko ikulu anachapa kazi unataka atoke aende wapiMakonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi
Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Motoni na mbinguni huwa viko pande ipi??Mungu anajua, unaweza kumuhukumu kua mtenda dhambi halafu siku hiyo unaishia motoni mwenzenu anakua mbinguni ndio mtashangaa
Anasali kanisa gani kwa Dar ? wiki iliyopita alisali?Hii post ndio utajua Kuna watu wapumbavu. Makonda yupo kila siku, na juzi hapa katoka kufungua dry cleaner na wateja anao wengi tu.
Yupo dar, yupo moro, yupo Arusha, yupo mwanza. Kote huko ana biashara na shughuli zake zinaendelea.