Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Mimi nadhani Mjomba Magu aliipenda Tanzania na viumbe vyake.
Uwe Waziri wa barabara miaka ishirini na unaizunguka nchi nzima kwa barabara kama madereva wa maroli makubwa,unajua kila kijiji lakini umejaa pesa na wadhifa .
Mwanaume wa mbegu utamlaumu kwa lipi?
Mara vuu kaukwaa uheshemiwa namba mmoja, Raisi wa Jamhuri unaeshi kwenye mabano utawaona lakini huwezi kuwagusa.
Ikulu sio Mabibo hostel wala danguro.
Kabendera ananogesha story ili kuuza kitabu.
Kabendera sio lukas Mwashambwa, Kabendera anajua anachokifanya;
 
20241207_195216.jpg
 
Ukisikiliza Mahojiano yake na Ghassan, jamaa ameeleza vyema sana sana, Kabendera sio Garasa kama watu wanavyomuona. The guy alikua anajua anachokifanya, kabla ya kusoma kile kitabu chake, msikilize kwanza, anasema kimekua reviewed na wanasheria wengi sana na kwa kipindi kirefu sana, kuna baadhi ya sura zimekua reviewed zaidi ya mwaka mzima na experts tofauti tofauti. Jamaa ana sources nyingi sana ndani ya serikali. Kwakifupi anajua alichokiandika, ni mpumbavu tu atakayetaka ligi nae.


View: https://www.youtube.com/watch?v=HfQqupIGlKM

Nimeisikiliza pia hii interview, jamaa anajua anachokiongea.

Anasema kuna mambo mengi sana alikuwa kayaandika ila wanasheria na waliopitia kitabu walimshauri ayatoe sasa fikiria angeandika yote ingekuwaje?

Swala la Ben jamaa kasema lilikuwa na pages 13, waliopitia na wanasheria waliondoa baadhi ya mambo mpaka kubaki page 3 tu, jiulize hilo jambo lina uzito kiasi gani?

Sijui kama hiki kitabu kitaingia maduka ya kibongo, naona kitauzwa huko huko Amazon.
 
Ukisikiliza Mahojiano yake na Ghassan, jamaa ameeleza vyema sana sana, Kabendera sio Garasa kama watu wanavyomuona. The guy alikua anajua anachokifanya, kabla ya kusoma kile kitabu chake, msikilize kwanza, anasema kimekua reviewed na wanasheria wengi sana na kwa kipindi kirefu sana, kuna baadhi ya sura zimekua reviewed zaidi ya mwaka mzima na experts tofauti tofauti. Jamaa ana sources nyingi sana ndani ya serikali. Kwakifupi anajua alichokiandika, ni mpumbavu tu atakayetaka ligi nae.


View: https://www.youtube.com/watch?v=HfQqupIGlKM

Kabisa, jamaa anajiamini sana kwa alichokiandika.
 
Kabendera sio lukas Mwashambwa, Kabendera anajua anachokifanya;
Kabendera ni binadamu tu tena wa kawaida sana ndio maanake anaendelea kusoma ili apunguze ujinga.
Kabendera mwenyewe anakili kuwa mentor wake alikuwa mama yake,kifo cha mama yake mzazi kilimuacha njiapanda kwa maana kuna assignment, assessment, utungaji wa kamusi na mambo mengi yaliokuwa in progress, yanashughulikia yeye na mama yake bila mother amekuwa yatima wa knowledge.
Kwa rugha nyepesi Kabendera hajaweza kuvivaa viatu vya mama yake.Msamehe kwa hilo.
 
Bahati nzuri aliesndikwa yupo hai na ananguvu za juu kabisa, sio mnyonge, kama uongo tutajua
Hawezi kiri hilo lazima amsitiri marehemu. Kumbuka marehemu now ananuka kwa mauchafu so busara ni kupunguza unukaji huu kwa kukanusha yaliyoandikwa.
Ni sawa na kiongozi wa kidini anapoongoza ibada kuzika jambazi, malaya mara nyingi huwa wanapooza maneno.
 
Kabendera ni binadamu tu tena wa kawaida sana ndio maanake anaendelea kusoma ili apunguze ujinga.
Kabendera mwenyewe anakili kuwa mentor wake alikuwa mama yake,kifo cha mama yake mzazi kilimuacha njiapanda kwa maana kuna assignment, assessment, utungaji wa kamusi na mambo mengi yaliokuwa in progress, yanashughulikia yeye na mama yake bila mother amekuwa yatima wa knowledge.
Kwa rugha nyepesi Kabendera hajaweza kuvivaa viatu vya mama yake.Msamehe kwa hilo.
Unachotakiwa kujua kabendera sio mjinga na haja kulupuka kuandika hicho kitabu;

Anaushahidi wa kitisha kwa kila alichoandika na ndio maana mpka sasa mamlaka ipo kmya
 
Back
Top Bottom