Kabendera sio lukas Mwashambwa, Kabendera anajua anachokifanya;Mimi nadhani Mjomba Magu aliipenda Tanzania na viumbe vyake.
Uwe Waziri wa barabara miaka ishirini na unaizunguka nchi nzima kwa barabara kama madereva wa maroli makubwa,unajua kila kijiji lakini umejaa pesa na wadhifa .
Mwanaume wa mbegu utamlaumu kwa lipi?
Mara vuu kaukwaa uheshemiwa namba mmoja, Raisi wa Jamhuri unaeshi kwenye mabano utawaona lakini huwezi kuwagusa.
Ikulu sio Mabibo hostel wala danguro.
Kabendera ananogesha story ili kuuza kitabu.
Nimeisikiliza pia hii interview, jamaa anajua anachokiongea.Ukisikiliza Mahojiano yake na Ghassan, jamaa ameeleza vyema sana sana, Kabendera sio Garasa kama watu wanavyomuona. The guy alikua anajua anachokifanya, kabla ya kusoma kile kitabu chake, msikilize kwanza, anasema kimekua reviewed na wanasheria wengi sana na kwa kipindi kirefu sana, kuna baadhi ya sura zimekua reviewed zaidi ya mwaka mzima na experts tofauti tofauti. Jamaa ana sources nyingi sana ndani ya serikali. Kwakifupi anajua alichokiandika, ni mpumbavu tu atakayetaka ligi nae.
View: https://www.youtube.com/watch?v=HfQqupIGlKM
Na huenda Angel kai naye hakuwepo.....Kidot alikuwa kasafiri nini??
Uache mshangazi kama ule kweli?? Ukazunguke usiku wa manane kisa b ushungi😁😁😁😁Na huenda Angel kai naye hakuwepo.....
Bahati nzuri aliesndikwa yupo hai na ananguvu za juu kabisa, sio mnyonge, kama uongo tutajuaKabendera ni zaidi ya Chadema na Sinema 🐼
Kabisa, jamaa anajiamini sana kwa alichokiandika.Ukisikiliza Mahojiano yake na Ghassan, jamaa ameeleza vyema sana sana, Kabendera sio Garasa kama watu wanavyomuona. The guy alikua anajua anachokifanya, kabla ya kusoma kile kitabu chake, msikilize kwanza, anasema kimekua reviewed na wanasheria wengi sana na kwa kipindi kirefu sana, kuna baadhi ya sura zimekua reviewed zaidi ya mwaka mzima na experts tofauti tofauti. Jamaa ana sources nyingi sana ndani ya serikali. Kwakifupi anajua alichokiandika, ni mpumbavu tu atakayetaka ligi nae.
View: https://www.youtube.com/watch?v=HfQqupIGlKM
Upwiru haunaga aibuUache mshangazi kama ule kweli?? Ukazunguke usiku wa manane kisa b ushungi😁😁😁😁
Kabendera ni binadamu tu tena wa kawaida sana ndio maanake anaendelea kusoma ili apunguze ujinga.Kabendera sio lukas Mwashambwa, Kabendera anajua anachokifanya;
Ungekuwa Muislamu walau ungelijua hata itifaki zilivyo muhimu 🐼Bahati nzuri aliesndikwa yupo hai na ananguvu za juu kabisa, sio mnyonge, kama uongo tutajua
Ukiletewa cctv camera ya siku hiyo itakuwajeWewe uliyeamini ndio mshamba!
Hawezi kiri hilo lazima amsitiri marehemu. Kumbuka marehemu now ananuka kwa mauchafu so busara ni kupunguza unukaji huu kwa kukanusha yaliyoandikwa.Bahati nzuri aliesndikwa yupo hai na ananguvu za juu kabisa, sio mnyonge, kama uongo tutajua
Kabendera Kudanganywa na Nyepesi na yeye akajaaUkiletewa cctv camera ya siku hiyo itakuwaje
Haya Mambo siyo buree kuna ushahidi Kabendera anajivunia nao siyo Bure
Unachotakiwa kujua kabendera sio mjinga na haja kulupuka kuandika hicho kitabu;Kabendera ni binadamu tu tena wa kawaida sana ndio maanake anaendelea kusoma ili apunguze ujinga.
Kabendera mwenyewe anakili kuwa mentor wake alikuwa mama yake,kifo cha mama yake mzazi kilimuacha njiapanda kwa maana kuna assignment, assessment, utungaji wa kamusi na mambo mengi yaliokuwa in progress, yanashughulikia yeye na mama yake bila mother amekuwa yatima wa knowledge.
Kwa rugha nyepesi Kabendera hajaweza kuvivaa viatu vya mama yake.Msamehe kwa hilo.
Mpelekeni mahakamaniKabendera Kudanganywa na Nyepesi na yeye akajaa
Ugomvi wa Kabendera ni wa Masaki na kinachomuandama ni Laana ya Edward Ngoyai Lowassa
Wengi hawalijui hili 🐼