Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kwa hili bomu kunawatu wanatamani KUJICHIMBIAHii kitu ni kweli kama hutaki endelea kunywa ulanzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili bomu kunawatu wanatamani KUJICHIMBIAHii kitu ni kweli kama hutaki endelea kunywa ulanzi.
Dunia ijue madhali tuliyokutana nayo watanzania. Na ataandika kwa kiswahili pia.Kwa nini hao watu huandika vitabu vyao kwa lugha ya mkolon wakati tuna lugha yetu nzuri tu ya taifa? Wanakuwa wamelenga nini hasa
Kama ulifanyiwa mengi na marehemu pole sana una haki ya kumpambania so endelea na eda.Utoto mwingi. Yule alikuwa ni Rais wa nchi amefanya mengi sana kwa nchi ya Tanzania na Watanzania wengi.
In the interest of fairness, natural justice wewe unayemshutumu ndio unatakiwa utoe ushahidi wa madai yako ziendane na shutuma zako.
Nimeuona uandishi wako.Umetulia.Ongeza ingine mpaka waseme ng'weeee!No upendo tu kwa mama yangu na Rais wangu. Maana nimeona yaariga nyingi nyingi sana na inauma sana. Ila kama sio kweli basi huu uzi ufuter haraka.
Kule mlieleza "maliyemu" hawezi kujitetea.Sasa,hili analoeleza muandishi,muhanga yupo.Kwa nini msimuombe atoe muhtasari wake?Naunga mkono hoja.
Hiki kipande kifutwe kwenye kitabu.
Ila kile kinachohusu mauaji(Kama ni kweli) kiendelee kuwemo na kikolezwe.
Amri ya Mungu: Usiue.
Hivi ninyi wenzetu ni uvivu wa kusoma au nini? Mstari wa chini ya highlight unasema alikuwa na history of sexual assault and ensued an altercation meaning she did not consent to his demandsMbona mnakuza mambo, hakuna mstari unaosema kwamba jamaa alinuia kubaka - amesema alienda na nguo za kulalia. Kwani we huwezi kutoka na boxer kama kuna dharura?
Badala wasubiri atasemaje,wanataka pafutwe.Movie ipo sokoni haihaririwi.Aliyetakiwa kubakwa mpka mda huu atakua kasha soma icho kitabu
Ngoja tuone
Upuuzi wake ni kusema ukweli - na uzuri kasema wanaona kaandika uongo basi watangulie mahakamani.Kabendera mpuuzi mmoja
Movie imehaririwa sana yaani hata hayo yaliyondikwa ni kidogo mnoooo. Kabenderea kamsitiri sana marehemu maana mengi sana kayafuta.Badala wasubiri atasemaje,wanataka pafutwe.Movie ipo sokoni haihaririwi.
Ni kwenye makazi ya VP.Halafu,yule alikuwa "simba wa yuda",kumbuka!Ikulu sio Kama home watu wanatembea na pajama tu
Wakuu Tuache kubangaizaNi kwenye makazi ya VP.Halafu,yule alikuwa "simba wa yuda",kumbuka!
Natumia vodaKama ulitumia namba ya Tigo katika kuunganisha malipo Mastercard Visa kuwa mvumilivu mara nyingi huchelewa sio mara zote lakini