Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

And this was the day mama janeth was assaulted...akalazwa muhimbili Nov 2016

Wengi walihoji ana Nini wakaambulia malaria but ni alipigizwa kichwa kwenye sakafu huko ikulu akazima.
Na media zikadanganywa...

Mke wa rais mna daktari wenu malaria tu anakutibu huko ikulu. Why Muhimbili?

Ukizoom sura ya huyo mama upande wa sikio amevilia

Screenshot_20250104-163827_1.jpg
 
Utoto mwingi. Yule alikuwa ni Rais wa nchi amefanya mengi sana kwa nchi ya Tanzania na Watanzania wengi.

In the interest of fairness, natural justice wewe unayemshutumu ndio unatakiwa utoe ushahidi wa madai yako ziendane na shutuma zako.
Kama ulifanyiwa mengi na marehemu pole sana una haki ya kumpambania so endelea na eda.
Kwa wengine aliyoyafanya ilikuwa ni wajibu wake wala haikuwa hisani na kwanza alifanya kazi chini ya kiwango katika mambo kadha wa kadha
 
Naunga mkono hoja.
Hiki kipande kifutwe kwenye kitabu.
Ila kile kinachohusu mauaji(Kama ni kweli) kiendelee kuwemo na kikolezwe.
Amri ya Mungu: Usiue.
 
Naunga mkono hoja.
Hiki kipande kifutwe kwenye kitabu.
Ila kile kinachohusu mauaji(Kama ni kweli) kiendelee kuwemo na kikolezwe.
Amri ya Mungu: Usiue.
Kule mlieleza "maliyemu" hawezi kujitetea.Sasa,hili analoeleza muandishi,muhanga yupo.Kwa nini msimuombe atoe muhtasari wake?
 
Mbona mnakuza mambo, hakuna mstari unaosema kwamba jamaa alinuia kubaka - amesema alienda na nguo za kulalia. Kwani we huwezi kutoka na boxer kama kuna dharura?
Hivi ninyi wenzetu ni uvivu wa kusoma au nini? Mstari wa chini ya highlight unasema alikuwa na history of sexual assault and ensued an altercation meaning she did not consent to his demands
 
Wewe jamaa mnafki, yani hapo umefanya km Mange wambea tunaita kusamaraizi, ndo kitu umefanya.!!

Kwahiyo vipi sasa una uhakika huyo mbakaji hakufanikiwa?!
 
Back
Top Bottom