The Coin Man
Senior Member
- Jan 2, 2025
- 156
- 167
nauliza tu kuna na nakala ya kiswahili kwa sababu nahisi kama nimewai kusoma kitabu kama hiki kwa lugha hiyo hiyo sehemu flan hv before Magufuri .Kabedera inavyoonekana kachomeka chomeka tu majina magufuri saa 8 ila content ndo ile ile kop and paste.